Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Bi. Zuhura Bundara akizungumza katika ghafla ya kumwaga balozi wa Algeria. |
Balozi Tabel akiendelea kuongea |
Wageni waalikwa wakimpongeza Balozi Tabell kwa kumpigia makofi |
Mkurugenzi Idara ya Asia na Australasia wizara ya Mambo ya Nje Balozi Mbelwa Kairuki naye akimsikiliza Balozi Tabell wa Algeria |
Waziri Membe akimweleza jambo Mhe. Balozi. |
Waziri Membe wakigonga Glasi (Cheers) |
Waziri Membe akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Algeria Mhe Tabell. |