Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI KABUDI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CANADA NCHINI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akiwa na Balozi wa Canada nchini Mhe.Pamela O'Donnell walipokutana kwa mazungumzo Ofisi za Makao Makuu ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yashiriki Mkutano kuhusu Madini ya Almasi nchini India

Tanzania inashiriki katika Mkutano wa  Mwaka kwa Nchi Wanachama wa KIMBERLEY PROCESSING SCHEME, unaofanyika Jijini New Delhi nchini India. Ujumbe wa Tanzania  katika mkutano huo  unaongozwa na  Naibu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YAKASIRISHWA KWA KUKAMATWA NDEGE YAKE AINA YA BOMBARDIER DASH 8-Q400...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BARUA HII IPUUZWE

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuutaarifu Umma wa Watanzania kuwa barua hii inayosambaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii inayodaiwa kutoka kwa Bw. Steyn...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA TDB

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli mapema leo, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Benki ya Maendeleo ya Biashara Mashariki na Kusini mwa Afrika (TDB) Bw....

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA 39 WA BARAZA LA MAWAZIRI WA EAC KUANZA KESHO JIJINI ARUSHA

 Baadhi ya washiriki wa Mkutano wa 39 wa Baraza la Mawaziri wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki wakifuatilia mkutano katika ngazi ya Makatibu Wakuu uliomalizika leo Jijini Arusha Makatibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tumbi Kutumia Sanamu Kufanya Mafunzo ya Afya kwa Vitendo

Kaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Pwani (Tumbi, Kibaha), Dkt. Sylas Msangi akitoa neno la ukaribiho katika hafla ya makabidhiano ya Snamu kwa ajili ya mafunzo ya vitendo kwa wataalamu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania Mwenyeji wa Mkutano wa JPC na Namibia

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ZIARA YA RAIS WA TAASISI YA UCHUMI NA MAENDELEO YA AFRIKA WA JAPAN HAPA NCHINI

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania na Nambia zaweka Mikakati ya Kujiimarisha Kiuchumi

Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Wilbroad Kayombo akifanya utambulisho wa viongozi wa Tanzania wanaoshiriki mkutano wa Tume ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania na Namibia Zajizatiti kukuza Biashara baina yao

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akisalimiana na Waziri wa Uhusiano na Ushirikiano wa Kimataifa wa Namibia, Mhe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA KUIMARISHA, KUENDELEZA USHIRIKIANO NA FALME ZA KIARABU (UAE)

Serikali ya Tanzania imeahidi kuendeleza ushirikiano wake na Falme za Kiarabu (UAE) katika sekta za biashara, miradi ya maendeleo, utalii, utamaduni, usafirishaji, kilimo na afya.Akiongea katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI INASHIRIKI KATIKA...

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inashiriki katika Maonesho ya Nne ya Viwanda yaliyoandaliwa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE).Kupitia Maonesho hayo,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

CALL FOR APPLICATION FOR INCLUSION IN THE SADC SECRETARIAT DATABASE OF...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAPENDEKEZO YA TANZANIA ACP YAUNGWA MKONO

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwasilisha hoja ya Tanzania katika Mkutano wa 110 wa Baraza la Mawaziri wa Nchi za Afrika,Carribean na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.WILLIAM RUTO AFUNGUA MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA ACP

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. William Ruto akifungua Mkutano wa 110 wa Baraza la Mawaziri kwa Nchi za Afrika,Caribbean na Pacific (ACP) katika ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Kenyatta...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI.EURO MILIONI 140 KUWANUFAISHA WAKULIMA WA MAHINDI NA KOROSHO WA NCHI ZA AFRIKA,CARIBBEAN NA PACIFIC (ACP) TANZANIA IKIWEMO.Jumla ya Euro milioni 140 zimetengwa ili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU DKT. MNYEPE ASHIRIKI MKUTANO WA HAKI ZA BINADAMU BEIJING, CHINA.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe yupo nchini China kushiriki Mkutano wa Pili wa Jukwaa la Haki za Binadamu kwa nchi zinazoendelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAKUKURU yakabidhiwa jalada la kufanyia uchunguzi upotevu wa fedha katika...

Na Mwandishi wetu,Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imeikabidhi TAKUKURU  jalada la kulifanyia uchunguzi upotevu wa fedha katika Ubalozi wa Tanzania nchini EthiopiaKatibu Mkuu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU DKT. MNYEPE ASHIRIKI MKUTANO WA HAKI ZA BINADAMU BEIJING, CHINA.

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe yuko nchini China kushiriki Mkutano wa Pili wa Jukwaa la Haki za Binadamu kwa nchi zinazoendelea...

View Article
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>