WATUMISHI WA WIZARA WALIVYOMPOKEA WIZARANII MHE. PROF. PALAMAGAMBA JOHN...
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akimkaribisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Prof....
View ArticleBALOZI BRIGEDIA JENERALI WILBERT A. IBUGE ATOA SOMO KWA WABUNGE KUHUSU...
Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge akiwasilisha mada mbele ya Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano Tanzania kwa ajili ya...
View ArticleTANZANIA YAAHIDI KUENDELEA KUISAIDIA CONGO KULINDA AMANI UKANDA WA MAZIWA MAKUU
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeahidi kuendelea kuisaidia Congo kulinda amani na kuhakikisha changamoto za ulinzi na usalama zinazoikabili nchi hiyo zinatatuliwa ili kuimarisha hali ya...
View ArticlePROF. KABUDI: TUTASHIRIKIANA NA TAIFA LOLOTE LINALOIHESHIMU TANZANIA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) amesema Tanzania itashirikiana na nchi yoyote duniani ambayo inatambua na kuheshimu Uhuru wa nchi na...
View ArticleTANZANIA YASHIRIKI MKUTANO WA SADC WA TROIKA MBILI NA WASHIRIKA WA MAENDELEO
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARITanzania yashiriki Mkutano wa SADC wa Troika Mbili na Washirika wa Maendeleo Dodoma, 21 Novemba 2020Tanzania imeshiriki Mkutano wa SADC wa Troika Mbili (SADC Double Troika...
View ArticleTANZANIA YAITHIBITISHIA JUMUIYA YA KIMTAIFA KUENDELEA KULINDA AMANI AFRIKA
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeihibitishia jumuiya ya kimataifa kuwa itaendelea kutoa vikosi vya kulinda amani na ulinzi katika nchi za bara la Afrika.Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa...
View ArticleMama Samia kumwakilisha JPM Mkutano wa SADC Organ Troika
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John KabudiNa Nelson Kessy, Gaborone-BotswanaMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan...
View ArticleVACANCY ANNOUNCEMENT
VACANCY ANNOUNCEMENTApplications are hereby invited from qualified and experienced Tanzanians for the following vacant post advertised by the Southern African Development Community (SADC) Secretariat:-...
View ArticleMAKATIBU WAKUU SADC - TROIKA WAKUTANA KUJADILI SIASA NA USALAMA
Makatibu Wakuu wa SADC -TROIKA wamekutana na kujadiliana Mambo mbalimbali yakiwemo masuala ya hali ya Siasa, Ulinzi na Usalama ndani ya SADC mjini Gaborone, Botswana.Awali, Mkutano wa Makatibu Wakuu...
View ArticleMAWAZIRI SADC - TROIKA WAKUTANA KWA DHARURA BOTSWANA
Baraza la Mawaziri wa Asasi ya SADC ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama wakutana katika mkutano wa dharura na kujadili masuala ya siasa, ulinzi na usalama.Mkutano huo umefanyika leo mjini...
View ArticleSADC-TROIKA, UN KUBORESHA MFUMO WA USALAMA NDANI YA DRC
Asasi ya Ushirikiano wa Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC kwa kushirikiana na Umoja wa Mataifa (UN) zimekubaliana kuboresha mfumo utakao weka ulinzi bora na usalama ndani ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya...
View ArticleUBALOZI WA TANZANIA AFRIKA KUSINI WAPEWA CHANGAMOTO YA KUTEKELEZA DIPLOMASIA...
Na Nelson Kessy, PretoriaUbalozi wa Tanzania nchini Afrika Kusini wapewa changamoto ya kuhakikisha kuwa unatekeleza Diplomasia ya Uchumi pamoja na Diplomasia ya Siasa iliyopo ndani ya Ilani ya Chama...
View ArticlePROF. KABUDI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA CHINA, FINLAND NA SWEDEN
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Finland hapa Nchini Mhe. Riitta Swan.Mazungumzo hayo yamefanyika...
View ArticleBALOZI IBUGE ATAMBELEA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI ETHIOPIA
Na Mwandishi wetu, Addis AbabaKatibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge ametembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Ethiopia kwa lengo la...
View ArticleRAIS WA UFARANSA AMTUMIA BARUA YA PONGEZI RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb) akipokea barua ya kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kwa...
View ArticleHABARI KATIKA PICHA MATUKIO MBALIMBALI ALIYOFANYA PROF. KABUDI
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamagamba John Kabudi akipokea barua ya pongezi kutoka kwa Balozi wa Ufaransa hapa Nchini Mhe. Frederic Clavier iliyoandikwa na Rais...
View ArticleUbalozi wa Tanzania, Qatar Washiriki Tamasha la Kumi la Kiasili la Majahazi
Ubalozi wa Tanzania Qatar ukishirikiana na Wanadiaspora kutoka Tanzania unashiriki kwenye Tamasha la Kumi la Kiasili la Majahazi lijulikanalo kama 10th Katara Traditional Dhow Festival.Tamasha hilo...
View ArticleTANZANIA, INDONESIA ZAAHIDI KUENDELEA KUKUZA BIASHARA
Tanzania na Indonesia zimeahidi kushirikiana na kuendeleza kukuza biashara kwa kuanzisha kwa manufaa ya nchi zote mbili. Akihutubia katika usiku wa shukrani kwa ajili ya wafanyabiashara wa Tanzania...
View ArticleWIZARA YA MAMBO YA NJE YAJIPANGA KUWAJENGEA UWEZO WA KAZI WATUMISHI WAKE
Mkurugenzi wa Kitengo cha Dispora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Anisa Mbega akizungumza kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...
View Article