TANZANIA YAFAFANUA MSIMAMO WAKE KUHUSU MGOGORO WA URUSI NA UKRAINE
Na Mwandishi Wetu, Dar Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa ufafanuzi kuhusu sababu ya kupiga kura ya kutofungamana na upande wowote katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu mgogoro...
View ArticleWAZIRI MULAMULA AFUNGUA MKUTANO WA WANAWAKE KATIKA DIPLOMASIA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) leo tarehe 23 Machi 2022 amefungua mkutano wa Wanawake katika Diplomasia (Women in Diplomacy) unaofanyika...
View ArticleWAZIRI MULAMULA AMUAGA BALOZI WA UGANDA
Na Waandishi Wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula amemuaga Balozi wa Unganda nchini Mhe. Richard Kabonero ambaye amemaliza muda wake wa...
View ArticleMKUTANO WA 15 WA BARAZA LA KISEKTA LA KILIMO NA USALAMA WA CHAKULA...
Mkutano wa 15 wa Baraza la Kisekta la Kilimo na Usalama wa Chakula la Jumuiya ya Afrika Mashariki (SCAFS) leo tarehe 25 Machi 2022 umefikia tamati jijini Dar es Salaam.Mkutano huu ambao umefanyika kwa...
View ArticleNGORONGORO YAIKUTANASHA SERIKALI NA MABALOZI, WAKUU WA MASHIRIKA YA KIMATAIFA...
Na Waandishi Wetu, Dar*Yasema inazingatia Haki za Binadamu na kuwawezesha wale watakaoondoka kwa hiyari katika maeneo hayoSerikali imesema haitamzuia mtu yeyote anayetaka kuondoka kwa hiyari katika...
View ArticleTANZANIA, LIECHTENSTEIN KUWEKEZA KATIKA KILIMO HAI
Na Mwandishi wetu, DarTanzania na Liechtenstein zimekubaliana kuweka mpango mkakati wa kuwekeza katika kilimo hai na kuongeza thamani ya mazao ya kilimo katika mikoa ya Morogogo na Dodoma.Waziri wa...
View ArticleTANZANIA YASHIRIKI MAKABIDHIANO YA MAJUKUMU YA BARAZA LA AMANI NA USALAMA LA...
Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Afrika, Mhe. Balozi Innocent Shiyo ameongoza ujumbe wa Tanzania katika hafla ya kupokea majukumu ya Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika...
View ArticleMTANZANIA ANAYEISHI NCHINI CANADA AONESHA NIA YA KUWEKEZA NCHINI KATIKA SEKTA...
Mtanzania anayeishi nchini Canada Bw. Joseph Katallahameonesha nia ya kuja kuwekeza nchini katika sekta ya miundombinu kwa kushirikiana na kampuni ya Geopolymer Solutions LLC ya nchini Marekani hususan...
View ArticleSERIKALI YAENDELEA KUWASIHI WAWEKEZAJI KUWEKEZA NCHINI
Na Mwandishi wetu, DarSerikali imeendelea kuwasisitiza Wawekezaji na Wafanyabiashara kutoka Umoja wa Ulaya (EU) kuwa Tanzania ni salama kwa biashara na uwekezaji na kuwasihi kuendelea kuwekeza kwa...
View ArticleTEKNOLOJIA ILIYOLETWA NA MWEKEZAJI DIASPORA ANAYEISHI NCHINI CANADA YAVUTIA...
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inaratibu ziara ya wiki mbili ya Mwekezaji Diapora kutoka nchini Canada, Bw. Joseph Katallah ambaye ameonesha nia ya kuwekeza katika...
View ArticleBalozi wa Tanzania, DRC Awasilisha Nakala za Hati za Utambulisho
Balozi wa Tanzania katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Mhe. Said Juma Mshana (kushoto) akiwasilisha Nakala za Hati za Utambulisho kwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Mambo ya Nje, wa DRC, Mhe....
View ArticleWatalii wengi zaidi kutoka Urusi Kutembelea Tanzania
Tanzania inatarajiwa kupokea watalii wengi zaidi siku za hivi karibuni kutoka nchini Urusi, kutokana na nchi hiyo kuwekewa vikwazo na Umoja wa Ulaya na Marekani. Hayo yamebainishwa katika mazungumzo...
View ArticleDIASPORA KUTOKA CANADA, TANROADS WAJADILI TEKNOLOJIA UJENZI WA BARABARA
Na Mwandishi wetu, DarDiapora kutoka nchini Canada, ambaye pia ni mwekezaji aliyeonesha nia ya kuwekeza katika miundombinu ya barabara nchini Bw. Joseph Katallah amekutana na uongozi wa Wakala wa...
View ArticleMKUTANO WA DHARURA WA KAMATI YA MAWAZIRI WA SADC KUFANYIKA PRITORIA, AFRIKA...
Mkutano wa Dharura wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ Troika) ambao utahusisha pia Jamhuri ya Msumbiji na Nchi...
View ArticleWAZIRI UINGEREZA ANAYESHUGHULIKIA MASUALA YA AFRIKA AWASILI DODOMA KWA ZIARA...
Waziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika, Amerika Kusini na Visiwa vya Karibian Mhe. Vicky Ford akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Mhe. Anthony Mtaka baada ya kuwasili jijini Dodoma...
View ArticleNCHI WANACHAMA WA SADC ZAPONGEZWA KWA KUJITOLEA KULINDA AMANI YA KANDA
Mwenyekiti wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika ambaye pia ni Waziri Uhusiano wa Kimataifa na Ushirikiano wa Afrika Kusini, Mhe. Dkt....
View ArticleMhe. Zungu akutana na Rais Mwenza wa Bunge la Pamoja la EU na OACPS
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Bunge la Umoja wa Ulaya yamekubaliana kuimarisha ushirikiano miongoni mwao na miongoni mwa wabunge wao. Hayo yameafikiwa tarehe 02 Aprili 2022 kwenye makao...
View ArticleWAZIRI FORD ARIDHISHWA NA UTOAJI HUDUMA ‘ENGENDERHEALTH’
Na Mwandishi wetu, DarWaziri wa Uingereza anayeshughulikia masuala ya Afrika, Amerika ya Kusini na Visiwa vya Karibian Mhe. Vicky Ford ameonesha kuridhishwa na utoaji wa huduma katika kituo cha afya...
View ArticleBALOZI MULAMULA AKUTANA NA WAZIRI WA UINGEREZA JIJINI DODOMA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (katikati) akimkaribisha Waziri wa Uingereza anayeshughulikia Afrika, Amerika ya Kusini na Visiwa vya Karibian...
View Article