BALOZI ADELARDUS KILANGI AWASILISHA HATI ZA UTAMBULISHO KWA RAIS WA BRAZIL
Balozi wa Tanzania nchini Brazil, Mhe. Prof. Adelardus Kilangi akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Brazil, Mhe. Jair Bolsonaro wakati wa hafla iliyofanyika hivi karibuni katika Ofisi za...
View ArticleWADAU WA UTALII WATAKIWA KUTUMIA TEKNOLOJIA KUTANGAZA UTALII
Na Mwandishi wetu, DarWadau wa Utalii watakiwa kutumia ubunifu zaidi katika kutangaza vivutio vya utalii wa ndani ili kukuza sekta ya utalii na kuongezea pato la taifa.Wito huo umetolewa na Mkurugenzi...
View ArticleWAZIRI WA ULINZI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA MKUTANO WA AU KUHUSU MASUALA YA...
Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb), Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa ameongoza ujumbe wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Mkutano wa Kisekta wa Mawaziri wenye dhamana ya kusimamia Ulinzi,...
View ArticleTANZANIA, JAMAICA KUONGEZA MAENEO MAPYA YA USHIRIKIANO
Na Mwandishi Wetu, Dar Serikali ya Tanzania na Jamaica zimeahidi kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano katika sekta za utalii, biashara na uwekezaji pamoja na elimu kwa maslahi mapana ya pande zote...
View ArticleMWAKILISHI MKAZI WA AfDB AWASILISHA BARUA ZA UTAMBULISHO
Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Maendeleo Afrika (AfDB) nchini Tanzania, Bibi. Patricia Laverley amewasilisha Barua za Utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi...
View ArticleSERIKALI YAELEZEA MAFANIKIO ZIARA ZA RAIS MAREKANI, UGANDA NA ROYAL TOUR
Na Mwandishi Wetu, DarMkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, amefafanua mafanikio ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, nchini Marekani...
View ArticleUNAIDS YAPONGEZA JITIHADA ZA SERIKALI KUKABILIANA NA UKIMWI
Na Mwandishi wetu, DarShirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Ukimwi (UNAIDS) limepongeza jitihada zinazochukuliwa na Serikali ya Tanzania katika kupambana na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI...
View ArticleWAZIRI MULAMULA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO U.A.E
Na Mwandishi wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) amesaini kitabu cha maombolezo katika Ubalozi wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), nchini...
View ArticleBALOZI MULAMULA ATETA NA UJUMBE WA WAFANYABIASHARA SWITZERLAND
Na Mwandishi Wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana kwa mazungumzo na Ujumbe wa wafanyabiashara kutoka Nchini Switzerland katika...
View ArticleBalozi wa Tanzania, Kuwait Awasilisha Hati za Utambulisho
Balozi wa Tanzania nchini Kuwait, Mhe. Said Mussa akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Naibu Amiri na Mwanamfalme wa Kuwait, Sheikh Mishal Al-Ahmad Al-Jaber Al-Sabah jijini Kuwait. Balozi wa Tanzania...
View ArticleBBALOZI MBAROUK ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO UAE
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk amesaini Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Rais wa UAE, Sheikh Khalifa bin Zayed bin Sultan Al...
View ArticleWAZIRI MULAMULA AFANYA ZIARA KATIKA MAHAKAMA YA KIMATAIFA YA KESI MASALIA ZA...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula amefanya ziara ya kikazi katika Mahakama ya Kimataifa ya Kesi Masalia za Mauaji ya Kimbari (IRMCT) tarehe 21...
View ArticleSEKRETARIETI YA AfCFTA YATOA ELIMU KUHUSU MKATABA WA AfCFTA
Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Omar Said Shabaan akifungua Warsha ya pamoja ya Wabunge na Wajumbe wa Baraza Wawakilishi ili kuwa na uelewa wa pamoja na...
View ArticleTANZANIA YAFUNGUA KONSELI KUU GUANGZHOU, CHINA
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania tarehe 20 Mei 2022 imefungua Konseli Kuu mjini Guangzhou China. Uwepo wa Konseli Kuu katika mji huo kuta iwezesha Tanzania kutumia vyema fursa za biashara na uchumi na...
View ArticleZanzibar Mwenyeji wa Tamasha la Utamaduni na Sanaa la Afrika
Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Fatma M. Rajab ameshiriki kwenye ufunguzi wa Tamasha la Utamaduni na Sanaa la Afrika 2022 (FESTAC 2022)...
View ArticleMKUTANO WA 19 WA MAWAZIRI WA AFRIKA NA NORDIC KUFANYIKA JUNI 2022 FINLAND
Na Mwandishi wetu, DarMkutano wa 19 Mawaziri wa Mambo ya Nchi za Nje kutoka katika Bara la Afrika na Nordic unatarajiwa kufanyika Helsinki, Finland kuanzia tarehe 13 – 15 Juni, 2022. Mkutano huo...
View ArticleBALOZI SOKOINE AKUTANA NA BALOZI WA ANGOLA NCHINI
Balozi wa Angola nchini Mhe. Sandro de Oliveira (katikati) akisaini kitabu cha wageni baada ya kuwasili katika Ofisi za Wizara jijini Dodoma kulia ni mwenyeji wake Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje...
View Article