Uchaguzi Afrika Kusini ulikuwa huru na wa haki:SADC
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.)-kushoto akiwa na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Lesotho na Namibia pamoja na Katibu Mtendaji wa Jumuiya ya...
View ArticleTANZIA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa John M. Haule akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Juu ya Kifo cha aliyekuwa Balozi wa Mwalawi nchini Tanzania Hayati...
View ArticleMhe. Membe amwakilisha Mhe. Rais Kikwete kushuhudia uwekaji saini mkataba wa...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) wa tatu kutoka kushoto waliosimama) kwa pamoja na viongozi wengine akiwemo Rais wa Rwanda, Mhe. Paul Kagame, Waziri...
View ArticleWaziri Membe ashiriki kuuaga mwili wa aliyekuwa Balozi wa Malawi nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisaini kwa masikitiko makubwa Kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha aliyekuwa Balozi wa Malawi hapa nchini, Hayati...
View ArticleWaziri Membe awasili Malawi kumwakilisha Mhe. Rais Kikwete kwenye mazishi ya...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Blantyre nchini Malawi kwa ajili ya kushiriki mazishi ya aliyekuwa Balozi wa Malawi...
View ArticleMhe. Membe amuaga Marehemu Balozi Flossie nyumbani kwake Malawi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushiriano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akisoma kwa majonzi Salamu za Pole za Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa Rais wa...
View ArticlePress Release
H.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania addressed to H.E. Abdullah Gül, President of the Republic of Turkey following the tragic mining disaster,which occurred in Soma,...
View ArticleWaziri Membe afungua Mkutano wa Baraza la Wafanayakazi wa Mambo ya Nje
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.)-katikati) kwa pamoja na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bw. John Haule (wa tatu kutoka...
View ArticleVACANCY ANNOUNCEMENT
SOUTHERN AFRICAN DEVELOPMENT COMMUNITYVACANCY ANNOUNCEMENTBackgroundThe Southern African Development Community (SADC) currently has fifteen Member States with a population of approximately 250 million...
View ArticleBalozi wa Tanzania nchini Urusi aapishwa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Lt. Gen. Wynjones Mattew Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi. Hafla hiyo fupi ilifanyika Ikulu, Dar es Salaam...
View ArticlePress Release
PRESS RELEASEH.E President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.M. King Harald V of Norway on the occasion to celebrate 200 years Anniversary...
View ArticleNaibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Vietnam awasili nchini kwa ziara ya kikazi
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb.) akizungumza na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Vietnam, Mhe. Nguyen Phuong Nga mara baada ya kumpokea...
View ArticleMfanyakazi Hodari wa Wizara na Wafanyakazi Bora wapokea vyeti vyao
Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu, Bw. Dushhood Mndeme akijiandaa kutaja majina ya Wafanyakazi Bora wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwemo Mfanyakazi...
View ArticleRais Kikwete apokea Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Marekani nchini
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Hati za Utambulisho za Balozi mpya wa Marekani nchini, Mhe. Mark Childress IKULU, Dar es Salaam tarehe 22 Mei, 2014.Mhe....
View ArticleMaadmisho ya Siku ya Afrika kufanyika Jumapili
Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Vicent Kibwana akiwa katika mkutano na waandishi wa Habari kuelezea maadhimisho ya Siku ya Afrika...
View ArticleSherehe za Kuadhimisha Siku ya Afrika Zafana jijini Dar es Salaam
Brass band ikiongoza maandamano ya wanadipolomasia wa nchi za Afrika, watumishi wa Serikali ya Tanzania, wanafunzi na wageni wengine waalikwa kwenda Viwanja vya Karimjee kuadhimisha Siku ya...
View ArticleWaziri Membe aliwasilisha Bajeti ya Wizara Bungeni Dodoma
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akiwasilisha Bungeni Makadirio ya Mapato na Matumizi ya Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa kwa mwaka wa...
View ArticleKonga mano la Nyumba kufanyika Dubai
Balozi Mdogo wa Tanzania nchini Dubai Bw. Omari Mjenga akifanya mazungumza na Nehemiah Mchechu (kulia) Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) alipo mtembelea Ofisini kwake Jijini Dubai,...
View ArticleMaadhimisho ya siku ya walinda Amani ya Umoja wa Mataifa yafanyika Dar
Waziri wa Ulinzi Dkt. Hussein Mwinyi akihotubia katika maadhimisho ya siku ya walinda Amani wa Umoja wa Mataifa yaliyofanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja. Mabalozi wakimsikiliza Waziri Mwinyi...
View Article