Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yaahidi kuimarisha Diplomasia ya Uchumi na Uganda

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akihutubia kwenye mkutano na waandishi wa habari uliofanyika Ikulu, Dar es Salaam wakati wa ziara ya Rais wa Uganda hapa nchini,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Museveni amaliza ziara yake nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Joseph Pombe Magufuli akiagana na Rais wa Uganda, Mhe. Yoweri Kaguta Museveni mara baada ya kumaliza ziara yake ya siku mbili hapa nchini.Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya Mambo ya Nje yahamia Dodoma Rasmi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) Ofisini kwake Mjini Dodoma. Waziri Mahiga leo ameutangazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VACANCY ANNOUNCEMENT

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana na Balozi wa DPRK nchini

Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea (DPRK) nchini, Mhe. Kim Yong Su,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri Mambo ya Nje akutana na Balozi wa Singapore nchini

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba (kulia) akizungumza na Balozi wa Singapore nchini, Mhe. Tan Puay Hiang, alipomtembelea Wizarani Jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Kusimamia Soko la Pamoja la EAC yakutana jijini Dar Es Salaam

Mkurugenzi wa Ajira kutoka Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Bw. Amir Amir aliyeshika kipaza sauti ambaye alikuwa Mwenyekiti wa kikao cha Kamati ya kusimamia utekelezaji wa Itifaki ya Soko la Pamoja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Arkadia Ltd

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya ARKADIA Ltd.  Dr. Ezio Copat walipokutana kwa mazungumzo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya haki za Binadamu na Watu

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifafanua jambo alipokutana na Rais wa Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu Jaji Sylvain Ore yenye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Palestina...

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt.Susan Kolimba amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Palestina hapa nchini Mhe.Hazem Shabat.Mazungumzo yao yalijikita katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga azungumza rasmi na Mabalozi kuhusu kuhamia Dodoma

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akiongea na Mabalozi na Wakuu wa Mashirika ya Kimataifa yanayowakilisha hapa nchini (hawapo pichani) kwenye kikao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana na Mabalozi wa Tanzania nchini Oman, Korea,...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (Mb) akizungumza  na Mabalozi wanao kwenda kuiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali (hawapo pichani), mazungumzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu Umoja wa Mataifa aipongeza Tanzania

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akisalimiana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. Antonio Guterres (kushoto) kwenye Uwanja wa Ndege wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga ampokea Mjumbe Maalum kutoka Ujerumani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) akizungumza na Mjumbe Maalum, Balozi Harro Adt aliyewasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Kansela wa Ujerumani, Mhe....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Taarifa kuhusu Ziara ya Rais wa Benki ya Dunia nchini Tanzania

Taarifa kuhusu Ziara ya Rais wa Benki ya Dunia nchini Tanzania Rais wa Benki ya Dunia, Dkt. Jim Yong Kim, atafanya ziara ya kikazi nchini kuanzia tarehe 19 hadi 21 Machi 2017. Akiwa nchini, Dkt. Kim...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Timu ya Everton ya Uingereza kutua nchini hivi karibuni

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Bw. Luca Neghesti kutoka SportPesa Tanzania leo ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Bw. Neghesti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Mero awasilisha Hati za Utambulisho

Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania kwenye Umoja wa Mataifa, Mhe. Modest J. Mero akitoa maelezo mafupi kwa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Mhe. António Guterres kabla ya kuwasilisha rasmi Hati za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Mabalozi Wateule nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (Mb.) leo tarehe 22 Machi, 2017 amepokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi Wateule 7...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje akutana na Balozi Mteule wa Oman nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Aziz P. Mlima (kulia) akizungumza na Balozi Mteule wa Oman nchini, Mhe. Ali Abdullah Mahruqi alipomtembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Mabalozi Wateule

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Mauritius nchini, Mhe. Jean Pierre Jhumun...

View Article
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>