Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Balozi Mulamula akabidhi Ofisi kwa Katibu Mkuu mpya wa Mambo ya Nje

$
0
0
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Aziz Ponary Mlima (kulia) akipokea nyenzo mbalimbali za kufanyia kazi kutoka kwa aliyekuwa Katibu Mkuu, Balozi Liberata Mulamula wakati wa makabidhiano rasmi ya Ofisi yaliyofanyika Wizarani tarehe 11 Januari, 2016.
Katibu Mkuu, Balozi Mlima (mwenye tai)  akiwa kwenye picha ya pamoja na Balozi Mulamula (kushoto). Wengine katika picha ni Naibu Katibu Mkuu mpya wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirkiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Ramadhani  Muombwa Mwinyi  (kulia) na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu, Balozi Simba Yahya (wa pili kulia).


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>