Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

WAHESHIMIWA MABALOZI WASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO

$
0
0
Mwakilishi wa Ubalozi wa Finland Nchini Bw. Simo-Pekla Perviainen (aliyeketi) akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Jamhuri ya Msumbiji Nchini Mhe. Monica Patricio Clement Mussa akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Kaimu Balozi wa Burundi Nchini Bw. Prefere Ndayishimiye akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Mwakilishi wa Ubalozi wa Angola Nchini Bw. Joel Cumbo akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Kaimu Balozi wa Jamhuri ya Watu wa Sudan Bw. Abuzied Shamseldin  Ahmed akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam
Balozi wa Cuba Nchini Mhe. Jorge Luis Tormo akisaini Kitabu cha Maombolezo ya Kifo cha aliyekuwa Rais wa Awamu ya Pili wa Zanzibar na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Alhaji Aboud Jumbe Mwinyi katika Ofisi ya Makamu wa Rais Jijini Dar es Salaam


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>