Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Waziri Mahiga akutana na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Japan

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (kulia) akizungumza na Mjumbe Maalum wa Waziri Mkuu wa Japan, Mhe. Balozi Junzo Fijita aliyetembelea katika ofisi za Wizara Jijini Dar es Salaam tarehe 19 Agosti, 2016.
Balozi wa Japan nchini, Mhe. Masaharu Yoshida  (kushoto) pamoja na Afisa aliyefuatana naye wakifuatilia mazungumzo.
Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia, Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto) pamoja na Afisa Mambo ya Nje, Bi. Bertha Makilagi wakifuatilia mazungumzo.
Mazungumzo yakiendelea
Wakiagana mara baada ya mazungumzo


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>