Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

KONGAMANO LA WATANZANIA WANAOISHI UGHAIBUNI KUANZA LEO ZANZIBAR

$
0
0

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga akizungumza na Wanahabari (hawapo pichani) katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Katika Mkutano huo na Wanahabari Bi. Mindi Kasiga aliujulisha umma kuhusu kufanyika kwa Kongamano la siku mbili (24 -25 Agosti, 2016) la Watanzania wanaoishi Ughaibuni (Diaspora) linalotajiwa kuanza leo Mjini Unguja, Zanzibar.
Mmoja wa Watanzania anayeishi ughaibuni ambaye pia ni Mdau wa Michezo, Bw. Emmanuel Nasaa akizungumza na Wanahabari. Katika mazungumzo yake, Bw. Emmanuel Nasaa alielezea umuhimu wa Watanzania wanaoishi ughaibuni (Diaspora) kushiriki katika kuchangia jitihada za maendeleo nchini kupitia Sekta mbalimbali


Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>