Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati akutana kwa mazungumzo na Kaimu Balozi wa S. Arabia nchini

$
0
0
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Abdallah Kilima (kulia) akisalimiana na Kaimu Balozi wa Saudi Arabia nchini, Bw. Bandau Abdullah Al hazani. Kaimu Balozi huyo alikuja Wizarani kujadili masuala mbalimbali ya ushirikiano kati ya Tanzania na Saudi Arabia.
Balozi Kilima akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Kaimu Balozi wa Saudi Arabia nchini Tanzania.
Mazungumzo yakiendelea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>