![]() |
Mheshimiwa Dkt. Susan A. Kolimba akimpongeza mtunzi na mwimbaji wa mashairi Bw. Issa Ally. |
![]() |
Mhe. Dkt. Susan A. Kolimba akitoa hotuba ya ufunguzi wa kongamano la CHAKAMA. |
![]() |
Mhe. Dkt. Susan A. Kolimba akiwa akionesha kitabu kilichozinduliwa kwenye kongamano la Kiswahili la CHAKAMA kulia ni Kaimu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Profesa Florens D. A. M Luoga. |
![]() |
Sehemu ya wadau wa lugha ya kiswahili waliohudhuria kongamano la Kimataifa la CHAKAMA wakifuatilia jambo. |
![]() |
Meza kuu (walioketi) wakiwa katika picha ya pamoja na Wahadhiri wa chuo Kikuu cha Dar es Salaam. |