Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Dkt. Mahiga akutana na Mkurugenzi wa Chuo cha Ulinzi na Usalama New Delhi, India.

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.), akisalimia na Mkurugenzi Mtendaji wa Chuo cha Ulinzi na Usalama nchini India Kapt. Guroreet S. Khurana (wa kwanza kushoto) mara baada ya kuwasili kwenye chuo cha Ulinzi na Usalama,  jijini New Delhi, India. Dkt. Mahiga alifanya mazungumzo na Kapt Khurana, katika mazungumzo yao yaliyojikita katika kuimarisha ushirikiano kati ya Tanzania na India, mazungumzo hayo yamehudhuriwa na Balozi wa Tanzania nchini India Mhe. Baraka Luvanda (Hayupo pichani).
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Baraka Luvanda akisalimiana na Kaimu Mkurugenzi wa Chuo cha Ulinzi na Usalama India, Kapt. Sarabjeet S Parmar
Mazungumzo yakiendelea.




Viewing all articles
Browse latest Browse all 3230

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>