Dkt. Ndumbaro Akutana na Wakurugenzi na Wakuu wa Vitengo wa Wizara ya Mambo...
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) akisalimiana na Mkuu Kitengo cha Fedha na Uhasibu cha Wizara hiyo Bw. Paul Kabale leo kabla ya kukutana...
View ArticleDkt. Mahiga akutana na Mkurugenzi wa Chuo cha Ulinzi na Usalama New Delhi,...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.), akisalimia na Mkurugenzi Mtendaji wa Chuo cha Ulinzi na Usalama nchini India Kapt. Guroreet S. Khurana (wa kwanza...
View ArticleWaziri Mahiga ziarani nchini India.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.), akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje wa India Mhe. Sushma Swaraj walipokutana katika Mkutano wa 9 wa Tume ya...
View ArticleMakabidhiano rasmi ya Ofisi ya Naibu Waziri yafanyika
Mhe. Dkt. Damas Ndubaro (Mb) Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki leo amekabidhiwa rasmi Wizara hiyo na aliyekuwa Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
View ArticleDkt. Ndumbaro akutana kwa mazungumzo na Mkurugenzi wa Kamati ya CPPCC ya China
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) akisisitiza jambo wakati wa mazungumzo yake na Mkurugenzi wa Kamati ya Mambo ya Nje ya Mashauriano ya...
View ArticleUmoja wa Mataifa kuadhimisha miaka 73 tokea kuanzishwa
Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro (Mb) Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akizungumza na Waandishi leo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Julius Nyerere ikiwa ni...
View ArticleUmoja wa Mataifa waadhimisha maika 73 tangu kuanzishwa.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Majaliwa Kassim akihutubia katika mahadhimisho ya miaka 73 tangu kuanzishwa kwa Umoja wa Mataifa, katika hotuba yake Mhe. Majaliwa amesema kwamba...
View ArticleDkt. Ndumbaro atembelea Ubalozi wa Jamhuri ya Sudani nchini.
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Dkt. Damasi Ndumbaro akiweka saini kwenye kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Sudani Mhe. Feld Marshal...
View ArticleDkt. Ndumbaro Aanza na Makampuni 41
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki (Mb.), akizungumza na waandishi wa Habari juu ya ujio wa Ujumbe mkubwa wa wawekezaji kutoka Ubelgiji, katika mkutano huo na waandishi wa...
View ArticleDkt. Ndumbaro amekutana kwa mazungumzo na Balozi wa China
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.), amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Jamhuri ya watu wa China Mhe. Wang Ke, katika mazungumzo hayo...
View ArticleBalozi wa Palestina amekutana na Dkt. Ndumbaro
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro (Mb.), amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Palestina nchini Mhe. Hamdi Abduli, katika mazungumzo yao...
View ArticleUbelgiji yaambiwa iongoze uwekezaji nchini, Mhandisi Manyanya
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIUbelgiji yaambiwa iongeze uwekezaji nchini, Mhandisi ManyanyaUbelgiji imetakiwa kuongeza kiwango cha uwekezaji nchini ili kuchochea zaidi kasi ya azma ya Serikali ya awamu...
View ArticleDkt. Mahiga azungumza na Watanzania wanaoishi Italia
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga (Mb), amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Masuala ya Ushirikiano wa Kimataifa kwenye Taasisi ya kidini...
View ArticleBalozi Dkt. Slaa awasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa Finland
Balozi wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic, na Baltic Mhe. Wilbrod Slaa awasilisha Hati zake za Utambulisho kwa Rais wa Finland, Mheshimiwa Sauli Niinistö jijini HelsinkiBalozi Dkt. Slaa akiwa katika...
View ArticleDkt. Ndumbaro awa Mgeni Rasmi maadhimisho ya Siku ya Mfalme wa Ubelgiji
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIDkt. Ndumbaro awa Mgeni Rasmi maadhimisho ya Siku ya Mfalme wa Ubelgiji Kampuni 32 kutoka Ubelgiji zilizowekeza Tanzania ni chache ukilinganisha na uwingi wa fursa za...
View ArticleItalia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumi
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIItalia yaiahidi Afrika Ushirikiano wa kiuchumiMawaziri wa Mambo ya Nje wa Italia na Afrika wameazimia kukuza na kuimarisha Ushirikiano katika nyanja mbalimbali, hususan...
View ArticleMwakilishi wa UN WOMEN awasilisha Hati za Utambulisho
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga amepokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Mwakilishi wa Shirika la Wanawake la Umoja wa Mataifa (UN WOMEN) Bi. Hodan Addou....
View ArticleDkt. Ndumbaro akutana na Balozi Kenya
aaNaibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Damas Ndumbaro (kulia) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Kenya nchini Mhe. Dan Kazungu. Mazungumzo yao yalihusu...
View ArticleTanzania na China zaadhimisha miaka 50 ya ushirikiano katika sekta ya afya
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga (Mb.), akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 50 ya Ushirikiano kati ya Tanzania na China katika sekta ya afya ambapo...
View ArticleUBALOZI WA TANZANIA, KOMORO WAADHIMISHA MIAKA19 YA KUMBUKUMBU YA MWALIMU NYERERE
Balozi wa Tanzania Visiwani Komoro Mhe. Sylvester M. Mabumba akihutubia kwenye Kongamano la Mwalimu Nyerere, ambapo Ubalozi wa Tanzania kwa kushirikiana na Diaspora ya Watanzania Visiwani Komoro...
View Article