Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba Kabudi akitembea na Rais Kagame kuelekea katika chumba cha wageni maalum. |
Rais Kagame akiwapungia mkono wananchi waliofika uwanja wa ndege kwa ajili ya kumpokea. |
Prof. Kabudi na Rais Kagame wakiingia kwenye gari kwa ajili ya kuelekea Ikulu jijini Dar Es Salaam. |