Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Maseneta wa Ufaransa wataka uanzishwe Ushirikiano wa Kidugu kati ya jiji la...

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMaseneta wa Ufaransa wataka uanzishwe Ushirikiano wa Kidugu kati ya jiji la Dodoma na ParisTanzania na Ufaransa  zimeahidi kuimarisha ushirikiano wa kimaendeleo; kuongeza...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Finland yaipongeza Tanzania vita dhidi ya Rushwa.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIFinland yaipongeza Tanzania vita dhidi ya Rushwa.Waziri wa Mambo ya Nje wa Finland, Mhe. Timo Soini.amepongeza jitihada zinazofanywa na Serikali ya Awamu ya Tano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya Awamu ya Tano kuendelea kulinda na kutetea Haki za Binadamu-Prof....

Waziri wa katiba na Sheria, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi akihutubia Kikao cha 40 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa kinachofanyika jijini Geneva nchini UswisiMhe. Prof. Kabudi alipata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli akutana na Makamu Rais Mtendaji wa JICA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akiwa katika mazungumzo na Makamu wa Rais Mtendaji Mwandamizi wa Shirika la Kimataifa la Ushirikiano la Japan (JICA), Bw....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Kabudi akutana na viongozi mbalimbali wakati wa kikao cha 40 cha Baraza...

Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Kiongozi wa Ujumbe wa Tanzania katika Kikao cha 40 cha Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (wa tatu kushoto)...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watumishi wa Mambo ya Nje wahimizwa kuzingatia sheria za utumishi wa umma

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji Kasidi Mnyepe akizungumza kwenye kikao cha pili na Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AWAAPISHA MAWAZIRI WAWILI, BALOZI MMOJA PAMOJA NA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimuapisha Profesa Palamagamba Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Ikulu jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Taarifa kuhusu ziara ya Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda Mhe. Paul Kagame, Rais wa Jamhuri ya Rwanda na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, atawasili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kagame awasili nchini kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (kulia) akizungumza na Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Mhe. Paul Kagame mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege...

View Article


ZIARA YA KIKAZI YA RAIS KAGAME WA RWANDA NCHINI TANZANIA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Kabudi akutana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje wa Rwanda, Mhe. Dkt. Richard Sezibera. Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Sakata la Chuo cha Diplomasia lahamia Takukuru

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Faraji K. Mnyepe (kulia) akikabidhi ripoti za ukaguzi za Chuo cha Diplomasia, kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali ya awamu ya tano haichukii wawekezaji, Dkt. Magufuli

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARISerikali ya awamu ya tano haichukii wawekezaji, Dkt. MagufuliRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli amesema Serikali ya awamu ya tano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIHakuna Mtanzania aliyepoteza maisha kwenye ajali ya ndege iliyotokea EthiopiaSerikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa Tanzania nchini India awasilisha Hati za Utambulisho nchini Bangladesh

Balozi wa Tanzania nchini India anayewakilisha pia nchini Bangladesh, Mhe. Baraka Luvanda akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa Jamhuri ya Watu wa Bangladesh, Mhe. Md. Abdul Hamid katika hafla...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Kabudi na Dkt. Mahiga wakabidhiana ofisi

Waziri wa Katiba na Sheria ambaye awali alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (kulia) akikabidhi Taarifa ya Makabidhiano ya Wizara ya Mambo ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Kabudi na Dkt. Mahiga wakabidhiana majengo ya ofisi za Wizara zao Mtumba

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akimkabidhi Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, mchoro wa jengo la Ofisi za Wizara ya Mambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Prof. Kabudi akutana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mheshimiwa Prof. Palamagamba J. Kabudi (Mb)  amekutana na kufanya mazungumzo na Mheshimiwa Mikhail Bogdanov, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa Canada atembelea Wizara ya Mambo ya Nje

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIBalozi wa Canada atembelea Wizara ya Mambo ya Nje Bw. Jestas A. Nyamanga, Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika-Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Nafasi za masomo na ajira

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARINafasi za masomo na ajiraWizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inapenda kuwahimiza Watanzania wenye sifa kuomba fursa za masomo na ajira zinazotolewa na...

View Article
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>