Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) amesaini kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Pakistan hapa nchini kufuatia kifo cha Rais mstaafu wa Pakistan Hayati Mamnoon Hussain aliyefariki Julai 14, 2021.
Picha ya Rais mstaafu wa Pakistan Hayati Mamnoon Hussain |
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiongea na Balozi wa Pakistan nchini, Mhe. Mohammad Saleem mara baada ya kusaini kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Rais mstaafu wa Pakistan Hayati Mamnoon Hussain aliyefariki Julai 14, 2021
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiagana na Balozi wa Pakistan nchini, Mhe. Mohammad Saleem mara baada ya kusaini kitabu cha Maombolezo kufuatia kifo cha Rais mstaafu wa Pakistan Hayati Mamnoon Hussain aliyefariki Julai 14, 2021