Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MULAMULA ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO UBALOZI WA PAKISTAN

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) amesaini kitabu cha maombolezo Ubalozi wa Pakistan hapa nchini kufuatia kifo cha Rais mstaafu wa Pakistan Hayati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

FINLAND YAIPONGEZA TANZANIA KWA MAENDELEO, UTAWALA BORA NA UHURU WA HABARI

 Na Mwandishi wetu, DarNchi ya Finland imeipongeza Tanzania kwa hatua mpya za kimaendeleo katika nyanja za ushirikishwaji wa sekta binafsi, uhuru wa vyombo vya habari,utawala bora na haki za binadamu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI BALOZI LIBERATA...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Mwenyekiti Mtendaji wa Taasisi ya Mabadiliko Ulimwenguni (Tony Blair Institute...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MULAMULA AMUAGA BALOZI WA INDIA

 Na mwandishi wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) amemuaga Balozi wa India hapa nchini, Mhe. Sanjiv Kohli ambaye amemaliza muda wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YAWATOA HOFU MABALOZI KUHUSU MAPAMBANO YA UVIKO 19

 Na Mwandishi wetu, DarSerikali imewaeleza Mabalozi njia mbalimbali inazozitumia kudhibiti maambukizi ya virusi vya corona ikiwa ni pamoja na kuridhia uingizwaji wa chanjo ya Uviko 19 kwa Balozi,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

AWLN, TAASISI YA MWALIMU NYERERE ZAPEWA CHANGAMOTO YA KUSIMAMIA AMANI AFRIKA

 Na Mwandishi wetu, DarMtandao wa Uongozi wa Wanawake Afrika (AWLN) kwa kushirikiana na Taasisi ya Mwalimu Nyerere umepewa changamoto ya kukuza na kusimamia masuala ya umoja na amani katika Bara la...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MULAMULA AMUAGA BALOZI WA UHOLANZI

 Na mwandishi wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) amemuaga Balozi wa Uholanzi nchini, Mhe. Jeroen Verheul ambaye amemaliza muda wake wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DKT MWINYI ATOA MAELEKEZO KWA WIZARA YA MAMBO YA NJE

Na Mwandishi wetu, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amesema kipaumbele cha Serikali yake hususani katika sekta ya mafuta na gesi,Utalii,Uvuvi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YA ZANZIBAR YAAPA KUULINDA MUUNGANO

 Na Mwandishi wetu, ZanzibarSerikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imesema itaendelea kuulinda Muungano kwa kuwa ndio tunu kubwa ambayo imeachwa na waasisi wa Muungano huo na kwamba Serikali haitotumia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MULAMULA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA NAIBU WAZIRI WA MAMBO YA NJE MAREKANI

 Na Mwandishi wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MULAMULA: ZIARA YA RAIS SAMIA RWANDA IMEIMARISHA UHUSIANO WA KIDIPLOMASIA

 Na Mwandishi wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) amesema moja ya mafanikio ya ziara ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATANZANIA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA NJE YA NCHI

Na Mwandishi wetu, DarWatanzania wamepewa changamoto ya kuchangamkia fursa mbalimbali za kiuchumi zinazopatikana Nje ya Nchi ili waweze kuinua uchumi wao pamoja na uchumi wa Taifa kwa ujumla.Changamoto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI MULAMULA AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI WA QATAR

 Na Mwandishi wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Qatar nchini Tanzania Mhe. Hussain Ahmad Al...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MULAMULA AMUAGA BALOZI WA OMAN

  Na Mwandishi wetu, DarWaziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) amemuaga Balozi wa Oman nchini, Mhe. Ally Abdallah Almahruqi katika ambaye amemaliza...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YASAINI MKATABA WA UANZISHWAJI WA TAASISI YA UDHIBITI WA DAWA YA...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Dkt. Monica Nsanzabaganwa wakionesha mkataba wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ETHIOPIA MHE. SAHLE - WORK ZEWDE AKUTANA KWA MAZUNGUMZO NA BALOZI...

Rais wa Ethiopia Mhe. Sahle – Work Zewde akiwa katika mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula(Mb).Mazungumzo hayo yamefanyika katika Ofisi za...

View Article

TANZANIA KUJIPANGA KUNUNUA DOZI MILIONI 17 ZA UVIKO - 19 ILIZOTENGEWA NA...

Umoja wa Afrika umeitengea Tanzania dozi milioni 17 za chanjo za UVIKO- 19 kupitia mpango wa Umoja huo wa kuzisaidia Nchi wanachama kupata chanjo kwa ajili ya Wananchi wake. Waziri wa Mambo ya Nje na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

BALOZI AGNES KAYOLA AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KWENYE KIKAO CHA KAMATI YA...

 Mratibu Mkuu wa Kitaifa wa masuala ya SADC na Mkurugenzi Idara ya Ushirikiano wa Kikanda Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Agnes Kayola akifuatilia majadiliano katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ISRAEL YAKOSHWA NA VIVUTIO VYA UTALII TANZANIA

 Na Waandishi wetu, ArushaMamia ya watalii kutoka Israel waendelea kuja nchini kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii licha ya changamoto ya Ugonjwa wa UVIKO-19 ambao umeikumba dunia hivi sasa.Kuja...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA NNE WA TUME YA PAMOJA YA USHIRIKIANO KATI YA TANZANIA NA KENYA...

Mkutano wa Nne wa Tume ya Pamoja ya Ushirikiano kati ya Tanzania na Kenya umeanza kufanyika leo tarehe 19 Agosti 2021 Jijini Nairobi, Kenya. Mkutano huu utakaofanyika kwa kipindi cha siku sita kuanzia...

View Article
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live