Mhe. Maalim akimtambulisha kwa Bi. Llyoid Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya. |
Mhe. Dkt. Maalim akizungumza na Bi. Lloyd |
Ujumbe alioambatana nao Bi. Lloyd wakifuatilia mazungumzo. |
Bi. Lloyd nae alipata wasaa wa kuchangia hoja wakati wa mazungumzo na Dkt. Maalim |
Balozi Yahya (kushoto) akiwa na Katibu wa Naibu Waziri Bw. Adam Isara wakisikiliza mazungumzo kati ya Dkt. Maalim na Bi. Lloyd (hawapo pichani) |
Mazungumzo yakiendelea. Picha na Reginald Kisaka. |