Mazungumzo yakiendelea |
Balozi Sebregondi akiwa na Balozi Berak na Mhe. Egon Kochanke (mwenye tai ya kijani), Balozi wa Ujerumani hapa nchini na Wajumbe waliofuatana nao wakimsikiliza Balozi Mushy ambaye hayupo pichani. |
Balozi Sebregondi akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yao na Balozi Mushy (hayupo pichani) huku Balozi Berak na Balozi Kochanke wakimsikiliza. Picha na Reuben Mchome |