Maabara ya kisasa ya kupima afya ya udongo kwa kutumia gari maalum yazinduliwa
Makamu Waziri wa Uholanzi Bi. Marjolijn Sonnema (watatu kushoto) na Naibu Waziri wa Mifugo na Uvuvi wa Tanzania Bw.Abdallah Ulega(watatu kulia) akikata utepe kuashilia uzinduzi wa Teknolojia ya...
View ArticleWawekezaji kutoka Jamhuri ya Czech watua nchini kutafuta fursa za biashara na...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWafanyabiashara na wawekezaji kutoka Jamhuri ya Czech watafuta fursa za biashara na uwekezaji nchini TanzaniaUjumbe wa wafanyabiashara na wawekezaji kutoka Jamhuri ya Czech...
View ArticleProf. Kabudi akutana na Mabalozi wa Nchi za SADC
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika...
View ArticleProf. Kabudi azungumza na Mabalozi wastaafu wa Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Mabalozi wastaafu walioiwakilisha Tanzania katika nchi mbalimbali...
View ArticleVACANCY ANNOUNCEMENT
PRESS RELEASEVACANCY ANNOUNCEMENT FROM THE INTERNATIONAL TELECOMMUNICATION UNION (ITU)The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation has received Vacancy Notice No....
View ArticleWafanyabiasha kutoka China ziarani nchini kutafuta fursa za biashara
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWafanyabiashara kutoka Jimbo la Zhejiang, China kuja nchini kutafuta fursa za biasharaUjumbe wa wafanyabiashara 25 kutoka Kampuni kubwa 15 za Jimbo la Zhejiang nchini China...
View ArticleUbalozi wa Tanzania nchini India wafanikisha hafla ya uzinduzi wa safari za...
Waziri wa Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Mhe. Mhandisi Isack Kamwele akizungumza wakati wa hafla ya uzinduzi rasmi wa safari za Shirika la Ndege la Tanzania (Air Tanzania) katika mji wa Mumbai...
View ArticleProf. Kabudi apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akipokea nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa India, Mhe. Sanjiv Kohli. Hafla...
View ArticleWizara ya Mambo ya Nje yamuaga Balozi wa Sweden na Denmark waliyomaliza muda...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Pof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akimkabidhi Balozi Tinguely zawadi ya picha ya kuchora ya Hifadhi ya Mlima Kilimanjaro kama kumbukumbu...
View ArticleWizara ya Mambo ya Nje yamuaga Balozi wa Switzerland na Denmark waliyomaliza...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Pof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) akimkabidhi Balozi wa Switzerland Mhe. Florence Tinguely Mattli zawadi ya picha ya kuchora ya Hifadhi ya...
View ArticleProf. Kabudi afanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Baraza la Ushauri la Bunge la...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Prof. Palamagamba John Kabudi (Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa wafanyabiashara katika jimbo la Zhejiang, China jimbo embalo...
View ArticleWadau waipongeza Serikali maandalizi ya Mkutano wa SADC
Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Innocent Lugha Bashungwa amekutana na kufanya mazungumzo na Wadau mbalimbali kutoka Sekta binafsi na Serikali ikiwa ni muendelezo wa maandalizi ya Mkutano wa 39 wa...
View ArticleProf. Kabudi awa mgeni rasmi siku ya Taifa la Misri
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Prof. Palamagamba John Kabudi akitoa hotuba kama mgeni rasmi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Taifa la Misri. Katika hotuba yake Mhe....
View ArticleWFP wasafirisha shehena ya mzigo kwa kutumia MV. Umoja
Meli ya mizigo ya MV Umoja iliyobeba mabehewa ya treni yenye shehena ya mzigo wa Shirika la Programu ya Chakula Duniani (World Food Program-WFP) kutoka Mwanza kwenda Uganda iliwasili bandari ya...
View ArticleTANZANIA NA ZIMBABWE ZASAINI HATI 5 ZA MAKUBALIANO YA PAMOJA
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Palamgamba John Kabudi (Mb) na Waziri wa mambo ya Nje wa Zimbabwe Luten Jenerali Mstaafu Sibusiso Moyo wakisaini hati za makubaliano ya...
View Article