Makamu wa Rais wa China awasili nchini kwa ziara ya kikazi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe.Dkt. Mohammed Gharib Bilal akimlaki kwa furaha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao mara baada ya kuwasili katika Uwanja...
View ArticleMakamu wa Rais wa China afungua rasmi Kongamano la Uwekezaji
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe Li Yuanchao akifungua rasmi Kongamano la Pili la Uwekazaji kati ya Tanzania na China. Ufunguzi wa Kongamano hilo ulifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa...
View ArticleMhe. Rais amwapisha Balozi Sokoine
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akimwapisha Balozi Joseph Edward Sokoine ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje na...
View ArticleMakamu wa Rais wa China afungua Kongamano la Taasisi ya Utamaduni Barani...
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mohamed Gharib Bilal akimkaribisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao katika Ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es...
View ArticleKikao cha Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi Wanachama wa Umoja waAfrika,...
Mhe. Bernard K. Membe, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Tanzania akitoa mchango wa Tanzania kwenye Kikao cha Mawaziri wa Umoja wa Afrika. Kushoto ni Balozi wa Tanzania nchini...
View ArticleBalozi Sokoine apokelewa kwa shangwe Wizara ya Mambo ya Nje
Balozi Joseph Sokoine ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika akisalimiana na Naibu Balozi wa Tanzania nchini Uswisi, Robert Kahendaguza huku Wafanayakazi wengine wa Wizara ya Mambo ya...
View ArticlePresident Kikwete arrives Equatorial Guinea for AU Summit
Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amewasili mjini Malabo, Equatorial Guinea kuhudhuria mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Afrika.
View ArticleMatukio mbalimbali ya ziara ya Makamu wa Rais wa China Zanzibar
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao akivalishwa shada la maua huku Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya mapinduzi Zanzibar, Mhe. Balozi Seif Ali Idd akishuhudia mara baada ya...
View ArticleTaarifa kwa vyombo vya habari
PRESS RELEASEH.E President Jakaya Mrisho Kikwete of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory...
View ArticleMkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Umoja wa Afrika, MalaboEquatorial Guinea
Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, kiongozi wa ujumbe wa Tanzania kwenye Mkutano wa Wakuu wa Nchi na Serikali za Umoja wa Afrika akiwa amesimama na kupiga makofi baada ya kuimba wimbo wa taifa wa Umoja...
View ArticleMakamu wa Rais wa China amaliza ziara yake nchini
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mohamed Gharib Bilal akiagana na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Li Yuanchao baada ya kukamilisha ziara yake ya siku sita hapa...
View ArticleNaibu Katibu Mkuu afunga rasmi mafunzo ya SOFREMCO
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha akisaini Kitabu cha Wageni mara baada ya kuwasili katika Chuo cha Diplomasia (CFR) kilichopo Kurasini...
View ArticleHon.Membe Guest of Honour at Pope's anniversary
The Minister for Foreign Affairs and International Co-operation, Hon. Bernard Kamilius Membe (MP), speaking at the ceremony, hosted by the latter in Dar es Salaam on Friday evening to mark the first...
View ArticleMhe. Membe amuaga rasmi Balozi wa Somalia nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Balozi wa Somalia hapa nchini, Mhe. Abdihakim Ali Yasin ambaye alifika Ofisini kwake kwa ajili ya kumuaga...
View ArticleMhe. Membe amuaga rasmi Balozi wa Afrika Kusini nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumuaga aliyekuwa Balozi wa Afrika Kusini hapa nchini, Mhe. Thanduyise Henry Chiliza...
View ArticleMhe. Membe azungumza na Balozi wa Sweden hapa nchini
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akimkaribisha Ofisini kwake Balozi wa Sweden hapa nchini, Mhe. Lennarth Hjelmaker alipofika kwa mazungumzo.Mhe. Membe...
View ArticleMwanamfalme Akishino wa Japan kutembelea Tanzania
Mwanamfalme AkishinoTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIMwanamfalme Akishino wa Japan na Mkewe wanatarajiwa kuwasili nchini tarehe 02 Julai, 2014 kwa ziara rasmi ya siku tano.Akiwa hapa nchini Mwanamfalme...
View ArticlePress Release
H.E. David JohnstonPRESS RELEASEH.E. Jakaya Mrisho Kikwete,President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to His Excellency David Johnston, Governor General and...
View ArticleMke wa Mfalme Mswati wa II wa Swaziland awasili nchini wa ziara
Ndege iliyombeba Mke wa kwanza wa Mfalme Mswati ikiwasili katika kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Juliusa Nyerere jijini Dar es salaam.Mke wa Kwanza wa Mfalme Mswati wa II wa Swaziland Malikia...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIWizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa leo imepokea taarifa kutoka Ubalozi wa Libya hapa nchini kuwa aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Bwana Ismail Nwairat,...
View Article