Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia afanya ziara nchini Tanzania
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akimkaribisha Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Italia, Mhe. Dkt. Mario Giro ambaye yupo...
View ArticleMkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda afanya mazungumzo na Balozi wa...
Mkurugenzi wa Idara ya Ushirikiano wa Kikanda katika Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Innocent Shiyo akizungumza na Balozi wa Namibia nchini Mhe....
View ArticleWaziri Mahiga akutana na Viongozi Wakuu wa Mahakama ya MICT
Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Rais wa Mahakama ya Kimataifa ya Masalia ya kesi za Mauaji ya Kimbari ya...
View ArticleWaziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Mabalozi...
Waziri wa Mambo ya Nje Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa Balozi Augustine Mahiga (kulia) akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule wa Jamhuri ya Czech, Mhe....
View ArticleMakamu wa Rais afungua rasmi Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Oman
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akitoa hotuba ya ufunguzi rasmi wa Kongamano la Biashara kati ya Tanzania na Oman lililofanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt...
View ArticleMhe. Rais apokea Hati za Utambulisho za Mabalozi wa Brazil, Czech na Sudan...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi mpya wa Brazil nchini, Mhe. Carlos Alfonso Iglesias Puente. Hafla hiyo fupi...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Ziara ya Mhe. Salva Kiir, Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini Tarehe 15 Aprili 2016Mhe. Salva Kiir Mayardit, Rais wa Jamhuri ya Sudan Kusini atafanya ziara ya kikazi ya siku moja nchini Tanzania tarehe 15...
View ArticleMsemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje azungumza na Waandishi wa Habari
Bi. Mindi Kasiga, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo...
View ArticleUongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje wakutana na Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje
Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akiwasilisha Taarifa ya Wizara kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Mambo ya Nje, Ulinzi na...
View ArticleWafanyabiashara kutoka nchini Oman wafanya ziara mkoani Tanga
Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maabara za Vetenari Tanzania "TVLA" Dkt. Furaha Mramba akiwakaribisha baadhi ya wafanyabiashara kutoka nchini Oman waliopo nchini kwa ziara ya siku tatu (3)...
View ArticleCOMMUNIQUÉ ON THE SIGNING CEREMONY OF ACCESSION OF S. SUDAN INTO EAC
EAST AFRICAN COMMUNITYCOMMUNIQUÉ ON THE SIGNING CEREMONY OF THE TREATY OF ACCESSION OF THE REPUBLIC OF SOUTH SUDAN INTO THE EAST AFRICAN COMMUNITYSTATE HOUSE, DAR ES SALAAM, TANZANIA15TH APRIL, 2016EAC...
View ArticleSudan Kusini Mwanachama rasmi wa EAC baada ya kusaini mkataba
Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki akisaini Mkataba wa Kuiwezesha Sudan Kusini kuwa Mwanachama Kamili wa Jumuiya ya Afrika...
View ArticleWaziri Mahiga akutana na Mjumbe Maalum wa Haki za Binadamu wa Australia
Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga (Mb) akimkaribisha Mhe. Philip Ruddock, Mjumbe Maalum wa Haki za Binadamu na...
View ArticleSerikali ya Brazil kufadhili miradi ya kilimo Mkoani Simiyu
Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Mhe. Anthony J. Mtaka kulia akutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Brazil nchini Mhe. Carlos Alfonso Iglesia Puente, mazungumzo ambayo yalifanyika leo katika Ofisi za...
View ArticleWizara ya Mambo ya Nje yafanya mkutano na Vyombo vya Habari
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Bi. Mindi Kasiga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo...
View ArticleTaarifa kwa Umma
TAARIFA KWA UMMA Sekretariati ya Jumuiya ya Maendeleo ya Kusini mwa Afrika (SADC) imetangaza nafasi mbalimbali 16 za ajira kupitia tangazo lao lililotolewa tarehe 16 Aprili, 2016 Kumb. Na. SADC/2/3/3/3...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Kikao cha Mwaka cha Menejimenti ya Kanda ya Mashariki na Kusini mwa Afrika cha UNICEF jijini Dar es Salaam (25 – 29 Aprili 2016)Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na...
View ArticleUfunguzi wa Kikao cha 14 cha Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano baina ya...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Rwanda Balozi Jeanine Kambanda akifungua Kikao cha 14 cha Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano baina ya Tanzania na Rwanda katika Hoteli ya Lake Kivu Serena...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI: TUME YA KUDUMU YA PAMOJA YA USHIRIKIANO...
Kikao cha Kumi na Nne cha Tume ya Pamoja ya Kudumu ya Ushirikiano baina ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Rwanda, 29 Aprili – 1 Mei, 2016Gisenyi RWANDAKikao cha Tume ya Pamoja ya Kudumu...
View Article