Waziri Mahiga akutana na Waziri wa Biashara za Kimataifa na Maendeleo wa Finland
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Waziri wa Biashara za Kimataifa na Maendeleo wa Finland, Mhe. Kai Mykkanen alipomtembelea...
View ArticleWaziri Mahiga azungumza na Wadau wa Maendeleo kutoka nchi za Nordic na Ujumbe...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifafanua jambo kwenye Mkutano na Wadau wa Maendeleo kutoka nchi za Nordic uliofanyika katika Ukumbi wa...
View ArticleWaziri Mahiga akutana na Balozi wa Algeria nchini Tanzania
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akimsikiliza Balozi wa Algeria nchini Tanzania Mhe. Saad Belabed katika mazungumzo yaliyofanyika Wizarani...
View ArticleWAZIRI MAHIGA AKUTANA NA MABALOZI
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA MAMBO YA NJE NA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI Simu:255-22-2114615, 211906-12Barua pepe: nje@nje.go.tzBarua pepe: gcu@nje.go.tzTovuti :...
View ArticleWaziri Mhiga asaini Mkataba na Serikali ya China
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga na Balozi wa Jamhuri ya Watu wa China  nchini Tanzania Mhe. Dkt. Lu Youqing wakisaini Mkatababa wa...
View ArticleTaarifa kwa Vyombo vya Habari
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga amefanya mazungumzo na waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari hapa nchini katika Ukumbi wa...
View ArticleWaziri Mahiga ampokea Mjumbe Maalum kutoka Senegal
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (kulia), akipokea Ujumbe Maalum kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli...
View ArticleMakamu wa Rais Mhe. Samia Hassan azindua majengo ya Umoja wa Mataifa (MICT)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa Taasisi mpya ya kimataifa MICT ambayo imechukua majukumu ya iliyokuwa Mahakama ya...
View ArticleMakamu wa Rais Mhe. Samia Hassan azindua majengo ya Umoja wa Mataifa (MICT)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia katika hafla ya uzinduzi wa Taasisi mpya ya kimataifa MICT(Mechanism for International Criminal Tribunals) ambayo...
View ArticleTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
 ZIARA YA KIKAZI NCHINI TANZANIA YA MHE. IDRISS DEBY ITNO, RAIS WA JAMHURI YA CHAD NA MWENYEKITI WA UMOJA WA AFRIKA TAREHE 27-28 NOVEMBA, 2016Mheshimiwa Idriss Deby Itno, Rais wa Jamhuri ya Chad na...
View ArticleRais Lungu awasili Tanzania kwa ziara ya Siku tatu
Rais wa Jamhuri ya Zambia, Mhe. Edgar Lungu (kulia) akisalimiana na mwenyeji wake, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa...
View ArticleRais Magufuli ampokea Rais wa Zambia Ikulu, Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu alipowasili Ikulu Jijini Dar es Salaam. Mara baada ya mapokezi...
View ArticleRais Magufuli amwandalia Rais Lungu dhifa ya Kitaifa Ikulu, Jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na mgeni wake Rais wa Zambia Mhe. Edgar Lungu wakielekea sehemu maalumu ilipoandaliwa dhifa ya kitaifaWaheshimiwa wa Marais...
View ArticleJOINT COMMUNIQUE ISSUED AFTER THE STATE VISIT OF PRESIDENT OF THE REPUBLIC OF...
JOINT COMMUNIQUE ISSUED BY HIS EXCELLENCY DR. JOHN POMBE JOSEPH MAGUFULI, PRESIDENT OF THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA AND HIS EXCELLENCY EDGAR CHAGWA LUNGU, PRESIDENT OF THE REPUBLIC OF ZAMBIA, ON THE...
View ArticleRais Lungu atembelea Bandari ya Dar es Salaam na Kampuni ya Zamcargo
Rais wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwe Lungu akiangalia mfumo wa kielektroniki  (haupo pichani) wa kuharakisha ukaguzi wa mizigo katika bandari ya Dare es Salaam alipotembelea bandari hiyo. Rais...
View ArticleRais Magufuli amuaga Rais Lungu wa Zambia
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa amembatana na mgeni wake Rais wa Zambia, Mhe. Edgar Lungu wakiangalia ngoma ya asili wakati akimuaga baada ya kumaliza ziara...
View ArticleDkt. Kolimba atembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Kenya
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba, ambaye yuko Nairobi kuhudhuria kikao cha Bunge la Afrika Mashariki, ametumia fursa hiyo kutembelea Ubalozi wa...
View ArticleBalozi Msechu apokea picha ya kuchora ya Rais Magufuli
Balozi wa Tanzania kwenye Nchi za Nordic na Baltic, Mhe. Dora Msechu amepokea picha ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli kutoka kwa Msanii Mchoraji, Bw....
View ArticleWaziri Mahiga akutana na Balozi wa Jamhuri ya Korea nchi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga akifafanua jambo kwa Balozi wa Jamhuri ya Korea nchini Mhe. Song Geum-Young wakati wa mazungumzo...
View ArticleWaziri Mahiga asaini kitabu cha maombolezo ya Rais Mstaafu wa Cuba Fidel Castro
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi wa Cuba nchini Mhe. Jorge Luis Lopez Tormo alipowasili nyumbani kwa Balozi huyo mapema...
View Article