Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live

PUBLIC ANNOUNCEMENT

PUBLIC ANNOUNCEMENTVisa exemption for Tanzanian diplomatic and official/service passport holders The United Republic of Tanzania and the Republic of India have started to implement the agreement signed...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Balozi wa China nchini, Mhe. Lu Youqing alipofika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo kuhusu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Mambo ya Nje wa China kufanya ziara nchini

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,  Bi. Mindi Kasiga akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusu  ziara ya Waziri wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Syria nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Augustine Mahiga(Mb.) amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Syria nchini Tanzania Mhe. Abdulmonem Annan (kushoto) mwenye makazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri wa Mambo ya Nje wa China awasili nchini kwa ziara ya kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga akimpokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Watu wa China, Mhe. Wang Yi (wa kwanza kulia) mara baada ya kuwasili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga amuaga Waziri wa Mambo ya Nje wa China Mhe. Wang

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushrikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.Balozi Dkt. Augustine Mahiga akijadili jambo na mgeni wake Waziri wa Mambo ya Nje wa China, Mhe. Wang Yi katika Uwanja wa Ndege wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi wa Cuba nchini Tanzania aagwa baada ya kumaliza muda wake

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisoma hotuba wakati wa hafla fupi ya kumuaga Balozi wa Cuba Nchini Tanzani Mhe. Jorge Luis Lopes Tormo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga aipongeza Cuba kwa kuchangia maendeleo nchini

                              Waziri Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipeana mkono na Balozi wa Cuba nchini    anayemaliza muda wake, Mhe. Jorge Luis Lopes Tormo wakati wa hafla ya kumuaga...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri asaini kitabu cha maombolezo

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akisaini kitabu cha maombolezo kwenye makazi ya Balozi wa Msumbiji nchini Mhe. Monica Patricio yaliyopo Jijini...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Banda la Wizara ya Mambo ya Nje lilivyong'ara kwenye Tamasha la Tatu la...

Bw. Othman Maalim Othman (kulia), Afisa kutoka Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akitoa maelezo kuhusu majukumu ya Wizara hiyo  kwa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana na Balozi Korhonen wa Finland nchini

Waziri ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi Klaus Korhonen wa Finland walipokutana kwa mazungumzo Wizarani Jijini Dar es Salaam....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU ZIARA YA RAIS WA UTURUKI NCHINI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Taarifa kuhusu ziara ya Rais wa Uturuki nchiniRais wa Jamhuri ya Uturuki, Mheshimiwa Recep Tayyip Erdogan anatarajiwa kufanya ziara ya kitaifa ya siku mbili nchini tarehe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhe. Rais Magufuli awaapisha mabalozi sita

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli akimwapisha Dkt. Emmanuel Nchimbi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Brazili, Ikulu jijini Dar esa salaam leo January 20,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga afanya mazungumzo na Waziri wa Maendeleo wa Denmark

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki  Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Waziri wa maendeleo wa Denmark Mhe. Martin Bille Hermann  walipokutana kwa mazungumzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais wa Jamhuri ya Uturuki awasili nchini

Rais wa Jamhuri ya Uturuki, Mhe. Recep Tayyip Erdogan akiwa ameambana na mkewe Mama Emine Erdogan, wakiwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere Jijini Dar es Salaam. Mhe. Rais...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIZiara ya Rais wa Uturuki nchini TanzaniaRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Uturuki, Mhe. Recep Tayip...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli ampokea Rais wa Uturuki Ikulu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt John Pombe Magufuli  na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Uturuki Mhe. Recep Tyyip Erdogan wakiwasalimia wananchi walijiotokeza kwenye hafla ya kumkaribisha...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Erdogan aondoka nchini baada kumaliza ziara yake

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akimsindikiza Rais wa Jumhuri ya Uturuki Mhe. Recep Tyyip Erdogan wakati akielekea kupanda ndege, kuondoka nchini mara baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania na Malawi kufanya Mkutano wa Nne wa Tume ya Pamoja

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali na Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) kwenye kikao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watanzania 14 washiriki maonesho ya Sanaa nchini Kenya

Maonesho ya sanaa za uchoraji ya Wasanii 14 kutoka Tanzania yameanza rasmi tarehe 25 Januari 2017 kwenye ukumbi wa maonesho wa Village Market Nairobi.Watu waliotembelea maonesho hayo siku ya kwanza ni...

View Article
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>