Balozi Mteule wa Australia awasilisha Nakala za Hati za Utambulisho
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Augustine Mahiga akisalimiana na Balozi Mteule wa Australia nchiniTanzania mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. WANG Ke kabla...
View ArticleMawaziri wa Tanzania na Rwanda kujadili Ujenzi wa Reli
Mawaziri wa Tanzania na Rwanda wanaoshughulikia masuala ya miundombinu wameagizwa kukutana mara moja kujadili ujenzi wa Reli ya kiwango cha Kimataifa kutoka Isaka hadi Rwanda. Kauli hiyo imetolewa leo...
View ArticleWaziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi mteule...
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akipokea Nakala za Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi Mteule wa Taifa la Israel mwenye makazi yake...
View ArticleTanzania yashiriki maonesho ya utalii ya kimataifa nchini Uholanzi
Tanzania imeshiriki vema katika Maonesho ya Utalii ya Kimataifa yanayofanyika kila mwaka mjini Utrecht, Uholanzi, maarufu kama Vakantiebeurs. Maonesho hayo yalifunguliwa rasmi na Mheshimiwa Halbe...
View ArticleTanzania yawa mwenyeji wa Mkutano wa pili wa India - Afrika
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akitoa hotuba ya ufunguzi katika Mkutano wa pili wa India - Afrika uliofanyika katika ofisi za ubalozi wa...
View ArticleRais Magufuli azungumza na Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Joseph Magufuli wa nne kutoka kushoto akiongea na wafanyakazi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki leo kwenye...
View ArticleWizara yawanoa Wabunge wa Tanzania wa Bunge la Nne la Afrika Mashariki
  Balozi Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akifungua Semina Elekezi kwa Wabunge wa Tanzania wa Bunge la Nne la Afrika Mashariki iliyofanyika kwenye Kituo...
View ArticleMabalozi watano wawasilisha Nakala za Hati za Utambulisho
Balozi Mteule wa UgirikiBalozi Mteule wa Ugiriki nchini Tanzania mwenye makazi yake Nairobi, Kenya, Mhe. Konstantinos Moatsos (kushoto) akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika...
View ArticleWATANZANIA WAHIMIZWA KUCHANGAMKIA FURSA COMORO
Balozi wa Tanzania katika Muungano wa Visiwa vya Comoro, Mhe, Sylvester Mabumba (wa pili kutoka kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uwekezaji wa Comoro, Bw. Said...
View ArticleBalozi wa Zimbawe atembelea Wizara ya Mambo ya Nje
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba akisalimiana na Balozi wa Zimbabwe nchini Tanzania anayemakiza muda wake, Mhe. Idzai Chimonyo ambaye alifika...
View ArticleIsrael kusaidia sekta ya afya nchini Tanzania
Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Bibi Dkt. Otilia Flavian Gowelle akiwa katika mazungumzo na Naibu Balozi wa Israel nchini, Mhe. Michael Baruch Baror...
View ArticleTimu Maalum ya ADB yatembelea Tanzania
 Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Prof. Aldof Mkenda (kulia) akiwa katika mazungumzo na Bw. Alieu Jeng- Mjumbe wa Timu kutoka Bank ya Maendeleo ya Afrika (African...
View ArticleNaibu Waziri wa Kilimo wa China atembelea Tanzania
Waziri wa Kilimo Mhe. Dkt.Charles Tizeba ( Katikati mwenye kipaza sauti), akiongoza mazungumzo wakati wa Mkutano na Naibu Waziri wa Kilimo wa China, Mhe. DK QU DONGYU(hayupo pichani)Â uliofanyika katika...
View ArticleMhe. Hamad Rashid akutana na Naibu Waziri wa Kilimo wa China
Waziri wa Kilimo, Maliasili, Mifugo na Uvuvi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Mhe. Hamad Rashid Mohammed akizungumza na Naibu Waziri wa Kilimo wa China, Mhe. Dkt. QU DONGYU walipokutana katika Wizara...
View ArticleMhe. Naibu Waziri amuaga Balozi wa Zimbabwe.
 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt Suzan Kolimba akimkabidhi zawadi Balozi wa Zimbabwe nchini anayemaliza muda wake Mhe. Balozi Edzai Chimonyo katika hafla fupi ya...
View ArticleNaibu Waziri akutana na Balozi wa Singapore nchini
 Naibu Waziri Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Suzan Kolimba akizungumza na Balozi wa Singapore nchini Mhe. Balozi Tan Puay Hiang, alipomtembelea Wizarani Jijini Dar es...
View ArticleTanzania kuendelea kuimarisha ushirikiano na Singapore
Kaimu Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akizungumza na Balozi wa Singapore nchini mwenye makazi yake nchini Singapore, Mhe. Tan Puay Hiang...
View ArticleWAZIRI MAHIGA AANZA ZIARA YA SIKU 3 NCHINI KOREA KUSINI
Mheshimiwa Dkt. Augustine Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akipokelewa na maua na Mheshimiwa Matilda Masuka, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye Jamhuri ya...
View ArticleMkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania na Korea Kusini
Mheshimiwa Augustine Phillip Mahiga, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akilakiwa na mwenyeji wake Mheshimiwa Kang Kyung-hwa, Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Korea, mara...
View ArticleBan Ki-moon ashiriki kwenye ufunguzi wa Ubalozi wa Tanzania katika Jamhuri ya...
Picha ya pamoja baada ya Mawaziri wa Tanzania na Korea Kusini kukata utepe na kuzindua rasmi majengo ya Ubalozi wa Tanzania tarehe 31 Januari, 2018. Kutoka kushoto ni Bw. Park Young min, Mkurugenzi...
View Article