Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MEMBE AONGOZA MKUTANO WA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA MADOLA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard Membe akiongoza Mkutano wa 45 wa Kikundi Kazi cha Mawaziri wa Jumuiya ya Madola, (Commonwealth Ministerial Action Group-CMAG) unaofanyika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania na China kuendeleza ushirikiano kwenye Sekta ya Uwekezaji na Viwanda

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Rajabu Gamaha akizungumza wakati wa mkutano kati yake na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi wa Afrika kutoka China amaliza ziara nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Afrika katika Wizara  ya Mambo ya Nje ya China, Balozi Liu Songtian akizungumza wakati wa mkutano wa pamoja na  Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu ziara yake ya siku...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA HIGH COMMISSIONER’S SECRETARY IN LONDON WINS UK DIPLOMATIC AWARD

Present with Ms. Kiondo was H.E. Peter Kallaghe, Tanzania High commissioner to the UK (left). Mr. Blackson Bayewumi, President of the Commonwealth Youth Foundation.==============================Ms....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TASWIRA KUTOKA UMOJA WA MATAIFA JIJINI NEW YORK

 Mhe. Waziri   Simba akisalimiana na  First Lady wa Kenya Mama Margaret Kenyatta, First Lady huyu   hukimbia mbio za marathon kama njia moja wapo ya kufatua  raslimali za kuwasaidi akina mama wenzie na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ziara ya mafunzo kutoka U.S. Army War Collage ofisi za Uwakilishi wa Kudumu...

Mhe. Balozi akielezea jambo mbele ya  kikundi  cha wanajeshi wanafunzi  ambao wapo katika  mafunzo  katika chuo cha U.S Army War Collage, wanafunzi hao walipata fursa ya kumuuliza Balozi maswali...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MEMBE AKUTANA NA MTANZANIA ALIYESHINDA TUZO ZA COMMONWEALTH MJINI LONDON

Mhe. Bernard Membe (Mb.), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa akiwa na Julius James Shirima, mshindi wa Tuzo ya Vijana wa Nchi za Jumuiya ya Madola upande wa Afrika. Kwenye mazungumzo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Press Release

H.E Michael D. Higgins, President of IrelandPRESS RELEASEH.E. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a congratulatory message to H.E. Michael D. Higgins, President...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESS RELEASE

Hon. Bernard Membe (left), Minister for Foreign Affairs and International Cooperation in  a photo with Mr. Julius Shirima, winner of the African region and an overall winner amongst 18 finalists for...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu akutana na Watanzania waishio nchini Japan

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Bibi wa Kijapan, Midori Uno,machi 17, 2015 kwenye hoteli ya New Otani jijini New York , ambaye aliishi Tanzania miaka ya 60 baada ya Uhuru wa Tanganyika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Membe amwakilisha Rais Kikwete, Lesotho

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb) wa katikati alipokuwa anaingia kwenye uwanja uliotumika kumwapisha Waziri Mkuu mpya wa Lesotho, Mhe. Pakalitha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania awasilisha mada kwa Watumishi wa Wizara ya...

Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Prof. Benno Ndulu akiwasilisha mada kuhusu  "Exchange Rate Developments in Tanzania and Implications for the Economy" kwa Watumishi wa Wizara ya Mambo ya Nje na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete awasili Burundi kulihutubia Bunge la EAC

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akipokea Maua kutoka kwa watoto waliokuja kumlaki katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Bujumbura ambapo alianza ziara ya kikazi ya siku mbili.Rais wa Burundi Pierre...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE ALIHUTUBIA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki Mh.Daniel Kidega akimkaribisha Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete katika jengo la bunge mjini Bujumbura Burundi ambapo Rais  alilihutubia Bunge la Jumuiya ya Afrika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete ampongeza Rais Mpya wa Namibia Dkt.Hague Geingob

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais Mpya wa Namibia Dkt.Hage Geingob wakati wa sherehe za kuapishwa kwake zilizofanyika katika Uwanja wa michezo wa Uhuru wa Namibia jijini Windhoek...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA CHILDREN'S PROJECT YAFANYA HARAMBEE KUSAIDIA WATOTO TANZANIA...

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akihudhuria harambee ya Tanzania Children's Project inayoshughulisha na miradi ya afya na elimu Tanzania iliyofanyika siku ya Jumamosi March...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Magari ya Kitalii ya Tanzania ruksa kuingia Uwanja wa Jomo Kenyatta: Waziri...

 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akizungumza na Waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu makubaliano ya pamoja yaliyofikiwa kati ya  Serikali za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Membe awaasa waimbaji wa nyimbo za injili nchini kuwa chachu ya amani...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard K. Membe (Mb.) amezindua albamu mbili za nyimbo za injili zinazokwenda kwa majina ya "Pisha Mbele" na "Ni Ujumbe wa Bwana" za mwimbaji Mercy...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESS RELEASE

Prime Minister of Singapore, H.E. Lee Hsien Loong PRESS RELEASEH.E. Dr. Jakaya Mrisho Kikwete, President of the United Republic of Tanzania has sent a condolence message to H.E. Lee Hsien Loong, Prime...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Membe mgeni rasmi Maadhimisho ya miaka 25 ya Uhuru wa Namibia

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akitoa hotuba wakati wa maadhimisho ya miaka 25 ya Uhuru wa Jamhuri ya Namibia. Maadhimisho hayo ambayo yaliandaliwa na...

View Article
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>