Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Membe awapokea Rais Museveni na Rais Nkurunziza kwa ajili ya Mkutano...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard K. Membe (Mb) akimpokea Rais wa Uganda Mhe.Yoweri Kaguta Museveni  alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kikwete afungua Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Ukanda wa Kati

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete akifungua Mkutano wa Wakuu wa Nchi zinazounda Ukanda wa Kati yaani Tanzania, Uganda, Burundi, Rwanda na Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Kagame awasili Dar es Salaam kushiriki Mkutano wa Uwekezaaji wa Ukanda...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe.Bernard K. Membe (Mb) akisalimiana na Rais wa Rwanda Mhe. Paul Kagame  alipowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESS RELEASE

King of Spain, H.M Felipe VIPRESS RELEASEPresident of the United Republic of Tanzania, His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete has sent a condolence message to the King of Spain, H.M. Felipe VI following...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

PRESS RELEASE

Presidente of German Joachim GauckPRESS RELEASEPresident of the United Republic of Tanzania, His Excellency Jakaya Mrisho Kikwete has sent a condolence message to H.E. Joachim Gauck, President of the...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yaikabidhi Malawi msaada kwa ajili ya Wahanga wa mafuriko

Balozi wa Tanzania nchini Malawi, Mhe. Patrick Luciano Tsere (kulia) akikabidhi  Dawa za Binadamu na Mahindi  kwa Bw. Paul Chiunguzeni, Katibu Mkuu na pia Kamishna  anayeshughulikia masuala ya Maafa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mh. Membe atoa somo kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime

Wazir wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, akizungumza na wanafunzi wa shule ya sekondari Tusiime kuhusu masuala mbalimbali ya kitaifa na kimataifa ambapo wanafunzi hao walipata...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Jakaya Kikwete azindua jengo jipya lenye Ofisi za Uwakilishi wa Tanzania...

Rais Kikwete akikata utepe pamoja na Mhe. Mahadhi Juma Maalim, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa  na viongozi wengine, kufungua rasmi jengo la ghorofa sita la Ofisi za Uwakilishi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ujumbe kutoka Chuo cha Kijeshi cha Nigeria watembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Mwakilishi wa Katibu Mkuu na Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,  Bw.Elibariki Maleko(katikati) akizungumza kuukaribisha Ujumbe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Picha na Matukio ya Ufunguzi wa Jengo la Tanzania Jijini New York

Jengo la ghorofa sita la Ofisi za Uwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani. Jengo hilo lipo karibu na Ofisi za Umoja wa Mataifa anuani namba 307 East 53rd...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Membe atoa wito kwa Watanzania kuwasaidia watu wasiojiweza kwenye jamii

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb)  akimtazama kwa furaha mmoja wa watoto yatima wanaolelewa kwenye kituo cha Nyumba ya Furaha na Amani kilichopo Kigogo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Membe awaasa vijana nchini kumcha Mungu

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard K. Membe (Mb.) akihutubia wakati wa Maadhimisho ya miaka 15 ya Tamasha la Pasaka. Tamasha hilo linaloandaliwa kila mwaka na Kampuni ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Mkapa atoa elimu ya uchumi kwa Mabalozi, Maofisa na Watumishi wa...

Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Benjamin William Mkapa akitoa mada katika semina ya masuala ya diplomasia ya uchumi kwa Mabalozi, Maofisa na Watumishi wa Wizara ya Mambo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Mkapa atoa elimu ya uchumi kwa Mabalozi, Maofisa na Watumishi wa...

Rais wa Awamu ya Tatu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Benjamin William Mkapa akitoa mada katika semina ya masuala ya diplomasia ya uchumi kwa Mabalozi, Maofisa na Watumishi wa Wizara ya Mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais amteua Mhe. Mgaza kuwa Balozi wa Saudi Arabia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mhe. Hemed Iddi Mgaza kuwa Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia.Taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Balozi Kairuki akutana na Balozi wa India kuzungumzia Mahusiano kati ya...

 Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Mbelwa Kairuki (kulia) akiwa na Balozi wa India hapa Nchini Mhe. Debnath Shaw wakiwa katika...

View Article

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.

Taarifa kwa Vyombo vya Habari.Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard K. Membe (Mb) ameanza ziara ya kikazi katika nchi za Qatar, Kuwait na Oman kuanzia tarehe 11 – 17 Aprili...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Membe yupo Nchini Quatar Kikazi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mh. Bernard Membe (Mb.) akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Quatar Mh. Dkt. Khalid Mohamed Al Attiyah, walipokutana na kufanya mazungumzo kuhusu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje akutana kwa mazungumzo na Waziri wa Mambo ya Nje...

 Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Dkt. Mahadhi Juma Maalim (Mb),akimkaribisha Wizarani Waziri wa Mambo ya Nje wa Muungano wa Visiwa vya Comoro, Mhe El-Anrif Said Hassane...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kamati ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar yatembelea Wizara ya Mambo ya Nje

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Balozi Rajab Gamah akifungua kikao  kati ya Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Kamati ya Kudumu ya...

View Article
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>