Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Viewing all 3230 articles
Browse latest View live

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

$
0
0


EMPLOYMENT OPPORTUNITIES

Tanzania is among 42 countries implementing a mutually agreed instrument voluntarily acceded to by someMember States of the African Union (AU) as a self-monitoring mechanism. Thegoal of the Mechanism is to foster the adoption of policies, standards and practices that lead to political stability, high economic growth, sustainable development and accelerated sub-regional and continental economic integration. The instrument thus, is a tool for sharing experiences, reinforcing best practices, identifying deficiencies and assessing capacity building needs resulting from periodic governance reviews.

The review process is overseen by the National Governing Council, which ensures credible periodic assessmentsthrough engagement of technically competent researchers coupled withimplementation of country-wide sensitisation and validation programmes. The Governing Council is supported by a National Secretariat, whose role is to implement plans and decisions of the Council in;information dissemination, sensitization, facilitating and overseeing the work of researchers, managing assessment events and their logistics, collecting public opinion and facilitating the work of external evaluators visiting the country.

Applications are hereby invited from suitably qualified candidates to fill in the following vacancies which exist in theNational Secretariat; 

Job Description
Title: Executive Secretary (ES)
Reporting to: The National Governing Council
Job Summary: 

The ES is the overall in-charge of the National Secretariat.

Key functions:

i. Chief Executive Officer and Accounting Officer of the National Secretariat;

ii. Responsible for planning, coordinating and controlling of activities of the the National Secretariat and advise the Governing Council on policies and programmes to be implemented;

iii. Ensure timely preparation of annual budgets and periodic performance reports of the Institution;

iv. Responsible for staff welfare of the Institution;

v. Chief spokes person of the Institution;

vi. Facilitate and coordinates fielding external review missions;

vii. Provide overall leadership of the NationalSecretariat;

viii. Liaise with the Government, Development Partners and other Continental bodies on the activities ofthe Institution; and

ix. Perform any other duties as may be directed by the Governing Council.

Qualifications, Skills and Experience

a) Masters degree at least in Public Administration, Economics, Business Administration, Law, Finance and Humanities related fields, a PHD will be an added advantage;

b) At least 10 years working experience at a senior level in a reputable organization;

c) Demonstrated ability to interact with Government establishment. Ability to interact with Development Partners will be an added advantage;

d) Demonstrated ability to write to a very high standard as evidenced by previous examples of relevant work accomplished in the field;

e) Fluency in spoken Kiswahili and English and ability to write lucid reports and documents in the said languages; knowledge of the other international languages will be an added advantage; 

f) Good knowledge of current development issues in Tanzania and National Development Strategies will be an addedadvantage;and

g) Outstanding peer relations.


Job Description
Title: Media and Communications Manager (MCM)
Reporting to: Executive Secretary

Job Summary:

To assist the Governing Council and the National Executive Secretary in providing the public with information on period governance review processes to be undertaken in Tanzania.

Key functions

i. Review and implement media and communication strategies of the institution;

ii. Undertake promotion of the activities of the institution and create positive image thereof;

iii. Coordinate preparation of the institution’spapers for workshops and conferences;

iv. Liaise with the media in covering events in which the institutionparticipates;

v. Coordinate press briefings for the institution;

vi. Oversees the publication of reports, leaflets, brochures etc. regarding activities of the institution;

vii. Coordinate preparation and production of the institutionarticles, programmes and news letters through various media channels;

viii. Up-date the institutioninformation in the website and other relevant online platforms;

ix. Advise other Units on the production of various documents; and

x. Perform any other duties as may be assigned by the National Executive Secretary.

Qualifications, skills and Experience

i. Minimum of Master's degree in governance, communication, marketing, media relations, journalism or related field;

ii. Minimum of 5 years of relevant professional experience in the development of public policy related to communications, including an appreciation of the role of social media and other modern communication techniques;

iii. A good understanding of governance challenges facingTanzania;

iv. Demonstrated ability to write to a very high standard as evidenced by previous examples of relevant work accomplished in the field;

v. Fluency in spoken Kiswahili and English and ability to write lucid reports and documents in the two mentioned languages; knowledge of the other international languages will be an added advantage.

vi. Demonstrated ability to communicate ideas and analyses clearly and tactfully, both orally and in writing.

vii. Outstanding peer relations;

Salary

The above positions carry a very competitive remuneration package.

Applications

Candidates should submit their applications attaching their resumes not later than20th February 2022to the following email address:



taprimreg18@gmail.com










 





Waziri wa Mambo ya Nje wa UAE atembelea Banda la Tanzania, Dubai

$
0
0

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Abdullah bin Zayed tarehe 13 februari 2022 ametembelea Banda la Tanzania kwenye Maonesho ya Expo 2020 Dubai na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Mhe. Mohamed Abdullah Mtonga ambaye pia ni Kamishna Jenerali wa Banda la Tanzania kwenye Maonesho ya Expo 2020 Dubai. 

Baada ya kuwasili kwenye banda hilo na kutembezwa, Mhe. Zayed aliipongeza Tanzania kwa kuandaa Banda lenye mvuto na linaloonyesha vivutio vya utalii pamoja na fursa zilizopo katika sekta mbalimbali kama za utalii, nishati, uchukuzi na madini. 

Kwa upande wake, Mhe. Balozi alimshukuru Mgeni wake kwa kuchagua kutembelea banda la Tanzania ikiwa ni moja ya nchi 192 zinazoshiriki maonesho hayo. Aidha, aliishukuru Serikali ya UAE kwa kuandaa vizuri Maonesho makubwa ya Expo 2020 Dubai, licha ya uwepo wa changamoto ya kuenea kwa ugonjwa wa COVID -19. 

Ushiriki wa Tanzania unatarajiwa kuwa na matokeo chanya na kuongeza idadi ya Watalii watakaoitembelea Tanzania, wawekezaji, mitaji pamoja na masoko ya bidhaa zinazozalishwa nchini. Katika Maonesho haya, Tanzania ni miongoni mwa nchi 50 ambapo kwa mara ya kwanza zinashiriki kwenye mabanda pekee  yaliyojengwa  kwa ufadhili wa Serikali ya UAE.

Katika hatua nyingine, Ubalozi wa Tanzania, UAE utasherehekea Siku ya Kitaifa (National Day) tarehe 27 Februari 2022. Sherehe hizo zitapambwa na shughuli mbalimbali zikiwemo Kongamano kubwa la Biashara na Uwekezaji litakalofanyika kwenye Ukumbi wa Ballon, Hoteli ya Jumeirah Beach tarehe 27 Februari 2022.

=====================================================================

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Abdullah bin Zayed alipowasili kwenye Banda la Tanzania katika Maonesho ya Expo 2020 Dubai na kupokelewa na Balozi wa Tanzania nchini humo, Mhe. Mohamed Abdullah Mtonga 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Abdullah bin Zayed akiangalia miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa nchini inayooneshwa kwenye Banda la Tanzania katika Maonesho ya Expo 2020 Dubai.

Balozi wa Tanzania katika Umoja wa Falme za Kiarabu, Mhe. Mohamed Abdullah Mtonga akibadilishana mawazo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa wa Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), Sheikh Abdullah bin Zayed alipowasili kwenye Banda la Tanzania katika Maonesho ya Expo 2020 Dubai.


Balozi Mbega Awasilisha Hati za Utambulisho, India

$
0
0

Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Anisa K. Mbega amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa India, Mhe. Ram Nath Kovind , Ikulu (Rashtrapati Bhavan), mjini New Delhi leo tarehe 16 Februari 2022. Baada ya kuwasilisha Hati hizo, Balozi Anisa Mbega alifanya mazungumzo na Mhe. Rais Kovind. 


Wakati wa mazungumzo hayo pamoja na mambo mengine, Balozi Anisa Mbega aliishurukuru Serikali ya India kwa misaada mbambali wanayoipatia Tanzania hususan, mikopo ya masharti nafuu katika sekta ya maji pamoja na misaada mbalimbali kama vile madawa na vifaa tiba pamoja na nafasi za mafunzo ya muda mfupi na mrefu kwa watanzania. Aidha, alimpa Mhe. Rais Kovind salamu za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suhuhu Hassan ambapo Mhe. Rais Kovind alishukuru kwa salamu hizo.


Vilevile, Mhe. Balozi Anisa Mbega aliahidi kuwa Tanzania itaendelea kudumisha uhusiano uliopo wa muda mrefu katika nyanja mbalimbali ikiwemo biashara, uwekezaji, utalii na pia kufungua milango ya ushirikiano katika maeneo mengine. 


Rais Kovind alisifu uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na India na akasisitiza kuwa India itaendelea kushirikiana na Tanzania kwenye nyanja mbalimbali. Aidha, alimuhakikishia Balozi Anisa Mbega kuwa Serikali ya India ipo tayari kutoa ushirikiano ili aweze kutekeleza majukumu yake kwa wepesi na ufanisi kwa maslahi ya wananchi wa pande zote.

Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Anisa .K. Mbega akisalimiana na Rais wa India, Mhe. Ram Nath Kovind alipowasili kwenye Ikulu ya Rashtrapati Bhavan jijini New Delhi kwa ajili ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.
Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Anisa K. Mbega akiwasilisha Hati za Utambulisho kwa Rais wa India, Mhe. Ram Nath Kovind , Ikulu (Rashtrapati Bhavan), jijini New Delhi

Balozi wa Tanzania nchini India, Mhe. Anisa K. Mbega akiwa katika mazungumzo na Rais wa India, Mhe. Ram Nath Kovind  kwenye Ikulu ya Rashtrapati Bhavan  jijini New Delhi baada ya kuwasilisha Hati za Utambulisho.


FURASA ZA KAZI NA UFADHILI WA MASOMO

BALOZI MBAROUK AONGOZA WAOMBOLEZAJI KUMUAGA BALOZI EDWIN RUTAGERUKA

$
0
0

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) akiongoza waombolezaji katika kuaga mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasi ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Marehemu Balozi Edwin Rutageruka katika kijiji cha Musibuka, Wilayani Misenyi Mkoani Kagera.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) akitoa salamu za mwisho kwa aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasi ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Marehemu Balozi Edwin Rutageruka katika mazishi yaliyofanyika kijiji cha Musibuka, Wilayani Misenyi Mkoani Kagera

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Sokoine akitoa salamu za rambirambi kwa ndugu na jamaa wa familia ya marehemu Balozi Edwin Rutageruka wakati wa mazishi yaliyofanyika katika kijiji cha Musibuka Wilayani Misenyi Mkoani Kagera 

Sehemu ya Waombolezaji wakiwa msibani



Askofu msaidizi wa Jimbo katoliki la Bukoba Mhashamu Methodius Kilaini akiongoza ibada ya mazishi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasi ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Marehemu Balozi Edwin Rutageruka katika mazishi yaliyofanyika jana kijijini kwake Musibuka, Wilayani Misenyi Mkoani Kagera

Askofu msaidizi wa Jimbo katoliki la Bukoba Mhashamu Methodius Kilaini akisimika msalaba kwenye kaburi la aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Diplomasi ya Uchumi katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Marehemu Balozi Edwin Rutageruka  

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) pamoja na mume wake wakiweka shada la maua kwenye kaburi la Balozi Edwin Rutageruka

Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine akiweka taji kwenye kaburi la Balozi Edwin Rutageruka

Baadhi ya Wakurugenzi wa Idara na Vitengo Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wakiweka mashada ya maua kwenye kaburi la Balozi Edwin Rutageruka kwa niaba ya Menejimenti ya Wizara hiyo



Naibu Waziri Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Sokoine pamoja na baadhi ya watumishi wa Wizara wakiwa katika picha ya pamoja kwenye kaburi la Marehemu Balozi Edwin Rutageruka mara baada ya maziko ya Balozi Edwin Rutegaruka

Wanadiaspora Wahamasishwa Kutumia Bidhaa zinazobuniwa kwa ajili yao.

$
0
0
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Tagie Daisy Mwakawago akisaini Kitabu cha Wageni kwenye Makao Makuu ya Benki ya NMB jijini Dar Es Salaam. Bi. Mwakawago alitembelea benki hiyo kujadili na uongozi kuhusu unazishwaji wa bidhaa mpya kwa ajili ya diaspora na maendeleo ya matumizi ya bidhaa zilizopo kwa wanadiaspora.
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Tagie Daisy Mwakawago (aliyekaa) akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa benki ya NMB baada ya kufanya mazungumzo na watumishgi hao. 
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Diaspora katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Tagie Daisy Mwakawago akiwa na mmiliki wa Hamidu City Park, Bw. Hamidu Mvungi. Hamidu City Park ni mradi wa nyumba uliopo Kigamboni jijini Dar Es Salaam ambao Kaimu Mkurugenzi ameenda kuuona ili kujiridhisha kwa ajili ya kuwahamasisha wanadiaspora kununua nyumba kwenye mji huo.
Sehemu ya nyumba zinavyoonekana kwenye mji huo.

INVITATION FOR TENDERS

$
0
0

                                                               UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

 MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION  

                     Tender No. ME- 013/2021- 2022/HQ/W/01 

For

PROPOSED CONSTRUCTION OF CHANCERY AND INVESTMENT BUILDING FOR THE TANZANIA EMBASSY IN KINSHASA, DRC.

Invitation for Tenders

Date: 15th February, 2022


1    This Invitation for Tenders follows the General Procurement Notice (GPN) for this Project on 24thSeptember, 2021. 

 

2    The Government of the United Republic of Tanzania has set aside funds for the operation of the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation during the financial year 2021/2022. It is intended that part of the proceeds of the fund will be used to cover eligible payment under the contract for ProposedConstruction of Chancery and investment building for the Tanzania Embassy in Kinshasa, DRC.

 

3    The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation now invites sealed Tenders from eligible contractors registered in NCA CLASS I (NCA1) CLASS I (ONECATEGORY for carrying out of the Proposed Construction of Chancery and Investment Building for the Tanzania Embassy in Kinshasa, DRC.

 

4    Tendering will be conducted through INTERNATIONAL COMPETITIVE TENDERING as specified in the Public Procurement Regulations, Government Notice No.446 of 2013 and is open to all Tenderers as defined in the Regulations unless otherwise stated in the Tender Data Sheet.

 

5    Interested eligible Tenderers may obtain further information and inspect the Tendering Documents from Tanzania Electronic Procurement System (TANePS). www.taneps.go.tz

 

6    All Tenders must be accompanied by Tender security of 2% of the tender value in the format provided in the Tender documents unless stated in the Tender Data sheet. The tender Security in the original form shall be submitted to the Director of Procurement Management Unit, Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Office, 6th Floor PSSSF House Makole Street Dodoma City, Tanzania before the deadline indicated  on para 7 below.

 

7    All Tenders must be submitted in the proper format, at or before on 10th March, 2022.Tenders will be promptly thereafter opened upon the presence of Bidder’s Representative who wish to attend TANeps on or before 13:00 Hours EAT Thursday hours on the 10th March, 2022Tenders will be opened promptly thereafter in public and in the presence of Tenderers’ Representatives who choose to attend.

 

8    Late Tenders, not submitted online through TANePs and Tenders not opened electronically through on the Tender opening day and time shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.

 

 

PERMANENT SECRETARY

MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION,

Government City

Mtumba Area, 

P.O Box 2933, 40466 Dodoma 



********************************************************************************************************* 

 


UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION 

 

Tender NoME-013/2020-2021/HQ/W/02

 

For


THE CONSTRUCTION OF THE PROPOSED CHANCERY AND AMBASSADOR’S RESIDENCE BUILDINGS IN TANZANIA EMBASSY MUSCAT OMAN

Invitation for Tenders

Date: 15th February, 2022

1    This Invitation for Tenders follows the General Procurement Notice (GPN) for this Project on 24thSeptember, 2021. 

 

2    The Government of the United Republic of Tanzania has set aside funds for the operation of the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation during the financial year 2021/2022. It is intended that part of the proceeds of the fund will be used to cover eligible payment under the contract for The Construction of the Proposed Chancery and Ambassador’s Residence Buildings in Tanzania Embassy Muscat, Oman.  

 

3    The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation now invites sealed Tenders from eligible contractors registered in CLASS I (ONE) CATEGORY for carrying out of the Proposed Chancery and Ambassador’s Residence Buildings in Tanzania Embassy Muscat, Oman.

 

4    Tendering will be conducted through NATIONAL COMPETITIVE TENDERING as specified in the Public Procurement Regulations, Government Notice No.446 of 2013 and is open to all Tenderers as defined in the Regulations unless otherwise stated in the Tender Data Sheet.

 

5    Interested eligible Tenderers may obtain further information and inspect the Tendering Documents from Tanzania Electronic Procurement System (TANePS). www.taneps.go.tz

 

6    All Tenders must be accompanied by Tender security of a ‘’minimum of 2 percent,’’of the bid price or an equivalent amount in a freely convertible currency in the form of Unconditional Bank Guarantee as provided in the Tendering documents

 

7    All Tenders properly filled in must be submitted in TANeps on or before 13:00 Hours EAT Thursdayhours on the 10th March, 2022Tenders will be opened promptly thereafter in public and in the presence of Tenderers’ Representatives who choose to attend in the opening at 6th Floor, PSSSF House, Makole Street, Director of Procurement Management Unit Office.

 

8    Late Tenders, Portion of Tenders, electronic Tenders, Tenders not received. Tenders not opened at the Tender opening ceremony shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.

 

PERMANENT SECRETARY

MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION,

Government City

Mtumba Area, 

P.O Box 2933, 40466 Dodoma 



***************************************************************************************************



UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION 

  

Tender No. ME-013/2020-2021/HQ/W/02

 

For


THE CONSTRUCTION OF THE PROPOSED CHANCERY AND INVESTMENT BUILDING FOR THE TANZANIA HIGH COMMISSION IN NAIROBI, KENYA

Invitation for Tenders

Date: 15th February, 2022

1    This Invitation for Tenders follows the General Procurement Notice (GPN) for this Project on 24thSeptember,2021. 

 

2    The Government of the United Republic of Tanzania has set aside funds for the operation of the Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation during the financial year 2021/2022. It is intended that part of the proceeds of the fund will be used to cover eligible payment under the contract for the THE CONSTRUCTION OF THE PROPOSED CHANCERY AND INVESTMENT BUILDING FOR THE TANZANIA HIGH COMMISSION IN NAIROBI, KENYA.

 

3    The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation now invites sealed Tenders from eligible contractors registered in NCA CLASS I (NCA 1) Category for carrying out of the Proposed Construction of Chancery and nvestment Building For The Tanzania High Commission in Nairobi, Kenya.

 

4    Tendering will be conducted through International Competitive Tendering as specified in the Public Procurement Regulations, Government Notice No.446 of 2013 and is open to all Tenderers as defined in the Regulations unless otherwise stated in the Tender Data Sheet.

 

5    Interested eligible Tenderers may obtain further information and inspect the Tendering Documents from Tanzania Electronic Procurement System (TANePS). www.taneps.go.tz

 

6    All Tenders must be accompanied with Tender security of 2% of the tender value in the format provided in the Tendering documents unless otherwise stated in the Tender Data Sheet. The Tender Security in the original form shall be submitted to the Director Procurement Management Unit, Director, Procurement Management Unit, Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Office, 6th Floor PSSSF House Makole Street Dodoma City, Tanzania before the deadline indicated on Para 7 below.

 

7    All Tenders must be submitted in the proper format, at or before 11:30 Hours EAT on 10th March, 2022Tenders will be promptly thereafter opened upon the presence of Bidder’s Representative who wish to attend.

 

8    Late Tenders not submitted online through TANePS and Tenders not opened electronically through TANePS on the Tender opening day and time shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.

 

 

PERMANENT SECRETARY

MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION,

Government City

Mtumba Area, 

P.O Box 2933, 40466 Dodoma 

 


  *******************************************************************************************************

 


UNITED REPUBLIC OF TANZANIA

MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION 

 

Tender NoME- 013/2020-2021/HQ/W/04

 

For


THE PROPOSED REHABILITATION WORKS FOR TANZANIA’S OLD CHANCERY BUILDING ALONG 2139 R- STREET NM WASHNGTON, DC 20008 USA

Invitation for Tenders

Date: 15th February, 2022

1    This Invitation for Tenders follows the General Procurement Notice (GPN) for this Project on 24thSeptember, 2021.

 

2    The Government of the United Republic of Tanzania has set aside funds for the operation of the MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION during the financial year 2021/2022. It is intended that part of the proceeds of the fund will be used to cover eligible payment under The Proposed Rehabilitation Works for Tanzanian’s Old Chancery Building along 2139 R-Street NW Washington,DC 20008 USA

 

3    The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation now invites sealed Tenders from eligible contractors registered in CLASS I CATEGORY for carrying out The Proposed Rehabilitation Works for Tanzanian’s Old Chancery Building along 2139 R-Street NW Washington, DC 20008 USA.

 

4    Tendering will be conducted through NATIONAL COMPETITIVE TENDERING as specified in the Public Procurement Regulations, Government Notice No.446 of 2013 and is open to all Tenderers as defined in the Regulations unless otherwise stated in the Tender Data Sheet.

 

5    Interested eligible Tenderers may obtain further information and inspect the Tendering Documents from Tanzania Electronic Procurement System (TANePS). www.taneps.go.tz

 

6    All Tenders must be accompanied with Tender security of 2% of the tender value in the format provided in the Tendering documents unless otherwise stated in the Tender Data Sheet. The Tender Security in the original form shall be submitted to the Director Procurement Management Unit, Director, Procurement Management Unit, Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation, Office, 6th Floor PSSSF House Makole Street Dodoma City, Tanzania before the deadline indicated on Para 7 below.

 

7    All Tenders must be submitted in the proper format, at or before 12:30 Hours EAT on 10th March, 2022Tenders will be promptly thereafter opened upon the presence of Bidder’s Representative who wish to attend.

 

8    Late Tenders portion of Tenders, electronic Tenders, Tenders not received, Tenders not opened at the Tender opening ceremony shall not be accepted for evaluation irrespective of the circumstances.

 

PERMANENT SECRETARY

MINISTRY OF FOREIGN AFFAIRS AND EAST AFRICAN COOPERATION,

Government City

Mtumba Area, 

P.O Box 2933, 40466 Dodoma 

 

 

FURSA ZA MASOMO


BALOZI MBAROUK AMUAGA BALOZI WA VATICAN

$
0
0

Na Mwandishi wetu, Dar

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) amekutana na kumuaga Balozi wa Vatican nchini Mhe. Askofu Mkuu Marek Solczyński baada ya kumaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini.

Akiongea wakati wa kumuaga Balozi wa Vatican jana jioni katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam, Balozi Mbarouk amempongeza Balozi Solczyński kwa kazi nzuri aliyoifanya ya kudumisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Vatican na Tanzania.

Pamoja na mambo mengine, Balozi Mbarouk amemuahidi Askofu Mkuu Solczyński kuwa Tanzania na Vatican zitaendelea kuhimiza amani na utulivu katika masuala yenye changamoto mbalimbali ili kuwezesha uwepo wa amani na kutambua mchango mkubwa unaotolewa na Baba Mtakatifu katika kulinda Amani na usalama duniani kote.

Kwa upande wake Balozi wa Vatican nchini, Askofu Mkuu Marek Solczynski, amesema kuwa Vatican itaendelea kuimarisha mahusiano yake ya kidiplomasia na Tanzania kwa masuala yenye maslahi ya amani na utulivu pamoja na haki na utu. 

“Tumeongelea masuala mbalimbali katika kukuza diplomasia yetu na tumekubaliana kwa pamoja kudumisha amani na usalama duniani ili kuweza kuchagiza maendeleo endelevu kwa pande zote mbili,” amesema Askofu Mkuu Solczynski.

Balozi wa Vatican nchini Askofu Mkuu Marek Solczyński aliwasili nchini Tanzania Julai 12, 2017.  

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk (Mb) akimkaribisha Balozi wa Vatican nchini Mhe. Askofu Mkuu Marek Solczyński katika Ofisi Ndogo za Wizara, Jijini Dar es Salaam

Balozi wa Vatican nchini Mhe. Askofu Mkuu Marek Solczyński akimueleza jambo Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk  wakati wa maongezi yao yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo za Wizara, Jijini Dar es Salaam

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akimsisitizia jambo Balozi wa Vatican nchini Mhe. Askofu Mkuu Marek Solczyński wakati wa maongezi yao katika Ofisi Ndogo za Wizara, Jijini Dar es Salaam

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk akimkabidhi Balozi wa Vatican nchini Mhe. Askofu Mkuu Marek Solczyński zawadi ya kinyago 




TAARIFA KUHUSU WATANZANIA WANAOISHI UKRAINE

BALOZI KOMBO AKUTANA NA WADAU WA NGO’s JIJINI ROMA

$
0
0

Na Mwandishi wetu, Roma

Balozi wa Tanzania nchini Italia Mhe. Mahmoud Thabit Kombo amekutana na kufanya mkutano na wadau wa NGO’s takribani sitini na nne zinazofanya shughuli zake nchini Tanzania mwishoni mwa wiki Jijini Roma, Italia.

Mkutano huo ulihudhuriwa pia na wadau mbalimbali wa Diaspora pamoja na wadau wa NGO walimpongeza Mhe. Balozi kwa kuwapa nafasi ya kujitambulisha na kutoa fursa ya kuwasikiliza mafanikio yao sambamba na changamoto wanazopitia katika kufanikisha shughulika zao nchini Tanzania.

Pamoja na kuwasikiliza lakini pia Balozi alitumia nafasi hiyo kuwashauri kuwa na ushirikiano wa pamoja ili kuleta ufanisi zaidi kwenye maeneo wanayo yafanyia kazi. Aidha, katika mkutano huo Balozi Kombo aliongea mubashara na Balozi wa Italia nchini Tanzania  Mhe. Marco Lombardi na kumpa fursa ya kutoa salaam zake moja kwa moja kwa njia ya mtandao.

Balozi wa Italia nchini Tanzania aliwahakikishia wadau hao kuwa wapo kwenye mikono salama ya Balozi wa Tanzania Rome na chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan kuwa Tanzania ni nchi salama ya kufanya shughuli zao.

Balozi wa Tanzania nchini Italia Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akipokea zawadi ya kitabu kutoka kwa mmoja wa wadau wa NGO's  mwishoni mwa wiki Jijini Roma, Italia

Balozi wa Tanzania nchini Italia Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akipokea akiwa katika kikao na wadau wa NGO's  mwishoni mwa wiki Jijini Roma, Italia


Denmark na Tanzania zaahidi kuimarisha Ushirikiano

$
0
0

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan imejipambanua kuwa imedhamiria kuboresha mazingira ili kutoa fursa kwa wadau kushiriki katika sekta mbalimbali, iwe siasa, biashara, uwekezaji au masuala ya usawa wa kijinsia.

Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) alipokutana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Denmark anayehusika na Masuala ya Sera na Maendeleo, Bi. Lotte Machon jijini Dar Es Salaam tarehe 28 Februari 2022.

Balozi Mulamula alieleza kuwa tokea Rais Samia aingie madarakani Serikali yake imechukua hatua mbalimbali za kuboreha mazingira ya biashara na uwekezaji, kutoa uhuru zaidi wa kisiasa, kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi, kuimarisha ushirikiano na nchi za nje na mashirika ya kimataifa, kuboresha miundombinu na kukabiliana na ugonjwa wa UVIKO-19.

Balozi Mulamula alieleza kuwa ushirikiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Denmark umetimiza miaka 60 sasa, na katika kipindi hicho, nchi hizo mbili zimeshirikiana katika maeneo mengi ikiwemo Tanzania kufaidika na misaada ya Denmark katika sekta tofauti kama vile; huduma za afya, elimu, mabadiliko ya mifumo ya kodi, nishati, kilimo, athari za mabadiliko ya tabianchi, biashara na uwekezaji.

Mhe. Waziri alimuhakikishia Bi. Machon kuwa Tanzania itaendelea kushirikiana na Denmark na kusisitiza umuhimu wa nchi hiyo kuendelea kuisaidia Tanzania hususan, kwa kuunga mkono jitihada za kuhamasisha wawekezaji wengi zaidi wa Denmark kuja kuwekeza nchini ili pamoja na mambo mengine uwekezaji huo uweze kutoa ajira kwa vijana ambao idadi yao kwa nchi za Afrika ni kubwa.

Kwa upande wake, Bi. Machon alielezea utayari wa Denmark kuendelea kushirikiana na Tanzania kwenye maeneo tofauti yakiwemo ya demokrasia, nishati na mabadiliko ya tabianchi. Alisema nchi hiyo kila mwaka inatenga asilimia 1 ya pato lake kwa ajili ya misaada ya maendeleo kwa nchi marafiki ikiwemo Tanzania.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akiwa katika mazungumzo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Denmark anayehusika na Sera na Maendeleo, Bi. Lotte Machon jijini Dar Es Salaam.

Ujumbe aliongozana nao Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Denmark anayehusika na Sera na Maendeleo, Bi. Lotte Machon ukinukuu dondoo muhimu za mazungumzo.

Ujumbe wa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) ambao kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Ulaya na Amerika Balozi Swahiba Mndeme,, Afisa Dawati, Bi. Kisa Mwaseba na Katibu wa Waziri, Bw. Seif Kamtinda. 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) akitoa maelezo ya zawadi aliyomkabidhi Katibu Mkuu wa Denmark.  

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberat Mulamula (Mb) na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje wa Denmark anayehusika na Sera na Maendeleo, Bi. Lotte Machon wakiwa katika picha ya pmoj na ujumbe wao.

SADC Yazindua Kituo cha Ugaidi Dar Es Salaam

$
0
0

 

Nchi wanachama za Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) zimeishukuru Tanzania kwa kujitolea kuwa Mwenyeji wa Kituo cha Kikanda cha Kupambana na Ugaidi ambacho kimezinduliwa rasmi tarehe 28 Februari 2022 jijini Dar Es Salaam.

Kituo hicho kimefunguliwa na Waziri wa Kazi, Ajira, Tija, na Ukuzaji wa Ujuzi wa Botswana, Mhe. Machana Ronald Shamukuni,kwa niaba ya Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC ambaye pia ni Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Afrika Kusini, Mhe. Maledi Pandor.

Katika hotuba yake, Mhe. Shamukuni alisema kuwa kujitolea kwa Tanzania kuwa Mwenyeji wa Kituo hicho ni kudhihirisha namna nchi hiyo wakati wote, tokea enzi za Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere imekuwa na dhamira ya dhati ya kuhakikisha kuwa suala la usalama katika kanda linapewa kipaumbele.

Alibainisha kuwa kituo hicho ni cha kwanza na cha aina yake katika Jumuiya za Kikanda barani Afrika. Hivyo, kitakuwa muhimu katika kuratibu masuala ya upatikanaji wa habari za kitelejensia, kubadilishana uzoefu na kutoa ushauri wa namna ya kuandaa Sera na programu za kukabiliana na kuzuia ugaidi baina ya nchi wanachama wa SADC.   

Mhe. Shamukuni alihitimisha hotuba yake kwa kueleza kuwa wakati ufunguzi wa kituo hicho unafanyika, nchi za SADC zimeshatuma tayari kikosi cha kupambana na vitendo vya kigaidi vinavyotokea katika jimbo la Cabo Delgado nchini Msumbiji. Amekitaja kitendo cha kutuma kikosi hicho ni ishara ya dhati ya nchi wanachama ya kuhakikisha kuwa zinakabiliana na vitendo vya ugaidi na kuvikomesha kabisa katika kanda ya SADC.

Kwa upande wake, Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Stergomena Tax (Mb) alieleza kuwa matishio ya kigaidi ni suala linalohitaji kushughulikiwa kwa nguvu zote, na kwa ushirikiano bila ya kupepesa macho, na kuwasihi wanachama wa SADC kuikabili changamoto ya ugaidi kikamilifu.

Alieleza kuwa ugaidi si vita ya kawaida, ambapo adui anaonekana kwa uwazi kwa sababu baadhi ya wafuasi wa vikundi vya ugaidi ni sehemu ya tunaoishi nao na vitendo vyao vimesababisha madhara ya kiuchumu, kijamii na kiusalama kwa raia wasio na hatia.

Alimalizia kwa kuainisha kuwa, kwa mujibu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) kuanzia mwaka 2007 hadi 2016, Bara la Afrika limepoteza Dola za Marekani bilioni 119 kwa ajili ya kukabiliana na vitendo vya ugaidi, hivyo, nchi za Afrika endapo zitashirikiana ipasavyo kukomesha vitendo hivyo, fedha nyingi zitaokolewa na kutumika kwa ajili ya mipango ya kuwaletea maendeleo wananchi wake.

Hafla ya ufunguzi wa kituo hicho ilihitimishwa kwa uwekaji saini wa Mkataba wa Uenyeji ambao kwa upande wa Tanzania ulisainiwa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Liberata Mulamula na kwa upande wa SADC ulisainiwa na Katibu Mtendaji, Mhe. Elias Magosi. 

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Mhe. Dkt. Stergomena Tax (Mb) akihutubia wakati wa Hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Kupambana na ugaidi cha SADC jijini Dar Es Salaam. 


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula na Waziri wa Kazi, Ajira, Tija, na Ukuzaji wa Ujuzi wa Botswana, Mhe. Machana Ronald Shamukuni, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC ambaye pia ni Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Afrika Kusini, Mhe. Maledi Pandor wakizindua rasmi kituo cha Kupambana na ugaidi cha SADC

Waziri wa Kazi, Ajira, Tija, na Ukuzaji wa Ujuzi wa Botswana, Mhe. Machana Ronald Shamukuni, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC ambaye pia ni Waziri wa Ushirikiano wa Kimataifa wa Afrika Kusini, Mhe. Maledi Pandor akihutubia wakati wa hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Kupambana na Ugaidi cha SADC jijini Dar Es Salaam.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula na Katibu Mtendaji wa SADC, Mhe. Elias Magosi wakiweka saini Makataba wa Tanzania kuwa Mwenyeji wa Kituo cha Kupambana na Ugaidi cha SADC


Baadhi ya Makatibu Wakuu wa Wizara mbalimbali walioshiriki hafla ya uzinduzi wa Kituo cha Kupambana na Ugaidi cha SADC


TANZANIA , UNHCR WAKUTANA DAR ES SALAAM

$
0
0

 

1.     Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Hamad Masauni (kushoto), Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (wa pili kushoto) wakiwa na Kamishna Msaidizi anayeshughulikia Uhifadhi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) Bibi Gillian Doreen Triggs na Kamishna Msaidizi anayeshughulikia Ushirikiano wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) Bw. Raouf Mazou wakati wa mkutano wa pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na UNHCR unaofanyika jijini Dar es Salaam Machi 1-2 2022.

1.   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (katikati) akifuatilia nyaraka za mkutano wa pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na UNHCR unaofanyika jijiini Dar es Salaam, kushoto kwake ni Kamishna Msaidizi Uhifadhi wa UNHCR Bibi Gillian Triggs na Kamishna Msaidizi Uendeshaji wa UNHCR Bw. Raouf Mazou


1.  Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Sokoine (kulia) akizungumza na Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani Bw. Christopher Kadio wakati wa Mkutano wa pamoja kati  ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) unaofanyika jijini Dar es Salaam


1.   Washiriki wa mkutano wa pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) wakifuatilia mkutano huo unaofanyika jijiini Dar es Salaam


1.   Washiriki wa mkutano wa pamoja kati ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) katika picha ya pamoja na viongozi waandamizi wa Serikali ya Tanzania na UNHCR baada ya ufunguzi wa mkutano huo unaofanyika jijiini Dar es Salaam


1.   Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula (kulia) akizungumza jambo na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Hamad Masauni baada ya kufungua Mkutano wa pamoja kati  ya Serikali ya Tanzania na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi (UNHCR) unaofanyika jijini Dar es Salaam



Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania  na Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa (UNHCR) wanakutana jijini Dar es Salaam kujadili utekelezaji wa majukumu ya kuwahudumia wakimbizi nchini na kuimarish ushirikiano kati ya pande mbili.

Mkutano huo wa majadiliano unafanyika jijini Dar es Salaam kuanzia tarehe 01 hadi  02 Machi 2022 unatokana na  mazungumzo kati ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan na Kamishina Mkuu wa UNHCR, Bw. Filippo Grandi yaliyofanyika New York, Marekani mwezi Septemba 2021.

Mkutano huo umefunguliwa na Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe. Hamad Masauni (Mb) na kuhudhuriwa na viongozi waandamizi wa Serikali ya Tanzania na UNHCR akiwemo Waziri wa mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb), Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Joseph Sokoine na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani  Bw. Christopher Kadio.

Akifungua mkutano huo Mhe. Waziri Masauni aliihakikishia Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania itaendelea kuheshimu haki za wakimbizi kwa kuzingatia sheria za kimataifa na bila kusahau sheria za nchi.

Waziri Masauni amesisitiza umuhimu wa wadau kutoa misaada kwa ajili ya kuboresha huduma na miundombinu ya kuwahudumia wakimbizi pamoja na jamii inayozuunguka makambi ambayo kwa kawaida huwa inaathirika kutokana na ongezeko la watu.

Mhe. Masauni amesema  zoezi la kuwarejesha wakimbizi ni la hiyari na linafanyika kufuatia hali ya usalama nchini Burundi kuimarika.

Akizungumza katika kikao hicho Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula (Mb) ambaye anaongoza majadiliano hayo amesema  historia ya Tanzania ya kupokea na kuhifadhi wakimbizi sio ya kutiliwa shaka.

Amesema jukumu hilo limekuwa ni moja ya sera ya nchi na kusisitiza umuhimu wa UNHCR na Serikali kuimarisha ushirikiano ili kuendelea kutimiza jukumu hilo la kibinadamu kwa mafanikio makubwa, kwa sababu suala la wakimbizi halitarajiwi kumalizika katika kipindi kifupi kijacho.
 

Nao viongozi wa UNHCR wanaoshiriki Mkutano huo wakiongozwa na Kamishina Msaidizi wa Hifadhi, Bibi. Gillian Triggs na Kamishina Msaidizi wa Uendeshaji Bw. Raouf Mazou, Mratibu Mkazi wa UNHCR nchini, Bw. Ziatan  Milisic wameishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendelea kupokea na kuwahifadhi wakimbizi.

Walisema Tanzania imekuwa ikipokea wakimbizi tokea miaka mingi iliyopita na hadi sasa kuna wakimbizi 147,000 nchini ambao wamekuwa wakipatiwa huduma stahiki na hadi wengine, 162,000 kutoka Burundi kupatiwa uraia.  

Viongozi hao walielezea miradi mbalimbali inayotekelezwa na inayotarajiwa kutekelezwa na wadau kwa ajili ya kuboresha maisha ya waimbizi na jamii inayowazunguka. Miradi hiyo imejikita katika utoaji wa elimu bora, utunzaji wa mazingira, kuwajengea uwezo vijana na wanawake pamoja na kuboresha huduma mbalimbali kwa jamii zinazoishi karibu na makambi.

Walisema katika miaka ya karibuni UNHCR imetumia Dola za Marekani milioni 1.3 kwa ajili ya kuimarisha huduma mbalimbali ikiwemo usalama mkoani Kigoma. 

Mkutano huo wa majadiliano ya ngazi ya juu unajadili ajenda za hifadhi ya ukimbizi,  na jitihada za serikali za kuhudumia wakimbizi,  kinga , haki na mahusiano ya kiutendaji kati ya Serikali na UNHCR.

RAIS WA TCCIA NCHINI AFANYA ZIARA YA KIKAZI OMAN

$
0
0


Rais wa Chama Cha Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Wakulima Tanzania (TCCIA), Bw. Paul Faraji Koyi,  amefanya ziara ya kikazi nchini Oman hivi karibuni.  Akiwa nchini Oman amekutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara na wenye Viwanda ya Oman, Mhandisi Redha Jumaa Al Saleh.


Katika mazungumzo yao, ambayo yalihudhuriwa pia na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Mhe. Abdallah Abasi Kilima, viongozi hao walijadili masuala mbalimbali ya ushirikiano ikiwemo kukuza biashara na uwekezaji baina ya pande hizo mbili ili kuzitumia kikamilifu fursa nyingi za kiuchumi zinazopatikana katika nchi hizi mbili na hatimaye kukuza kiwango cha biashara kati ya nchi hizi ambacho kwa sasa kinaonekana bado kipo chini.


Wakati wa mazungumzo hayo, Bw. Koyi aliueleza ujumbe wa Oman kuwa, zipo fursa nyingi nchini Tanzania ambazo Oman inaweza kunufaika nazo zikiwemo za uwekezaji wa Viwanda vya kuchakata mazao ya Kilimo, Utalii, Uzalishaji Umeme, Kilimo, Ujenzi wa nyumba na sekta ya usafirishaji wa anga na baharini. Kadhalika aliwajulisha kuwa, Serikali ya Tanzania inachukua hatua mbalimbali za kuboresha miundombinu ya umeme, barabara, reli na viwanja vya ndege Ili kuweka mazingira mazuri ya uwekezaji na biashara.

Kwa upande wake, Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wa Oman, Mhandisi Al Saleh aliwaeleza wajumbe kuwa, nchi hiyo imefungua milango ya uwekezaji katika Maeneo Huru ya Uwekezaji (EPZ) ya Salala, Duqm na Sohar. Aidha, Serikali ya Oman imetoa fursa kwa wawekezaji kutoka nje kutolazimika kuwa na ubia na mwekezaji mwenyeji.


Akizungumzia suluhisho la changamoto za ufanyaji biashara kati ya Tanzania na Oman, Balozi wa Tanzania nchini Oman, Mhe. Abdalah Kilima amesema tayari Ubalozi huo umewasilisha pendekezo hapa nchini la kuanzisha safari za ndege ya mizigo kwenda Oman kupitia Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL). Pia Ubalozi umezungumza na mashirika ya meli nchini Oman ili kuanzisha safari za moja kwa moja kati ya nchi hizi mbili

Wakati huohuo, Ujumbe wa Viongozi wa Jumuiya ya Wafanyabiashara wenye Viwanda na Wakulima ya Tanzania walikutana na Viongozi wa Baraza la Biashara kati ya Oman na Tanzania wa upande wa Oman ambapo walikubaliana kufufua mikakati ya ushirikiano kupitia Kampuni ya Uwekezaji ya Oman na Tanzania (OTIC) iliyoanzishwa mwaka 2016.

Mbali na kushiriki mazungumzo na viongozi mbalimbali wa Oman, Ujumbe wa TCCIA ulifanya ziara katika Kiwanda cha Taifa cha Chai cha Oman, wazalishaji wa chai ya MUMTAZ jijini Muscat na kupata maelezo ya utendaji wa kiwanda hicho ambapo pamoja na mambo mengine, Kampuni hiyo imeahidi kufuatilia fursa zilizopo nchini, ikiwemo upatikanaji wa chai.

Kwenye ziara hiyo, Rais wa TCCIA nchini alifuatana na Bw. Abdul Mwilima, Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyabiashara Mkoa wa Kigoma; Kaimu Mkurugenzi Mtendaji, Bw. Nerbat Mwapele na Afisa Masoko Mwandamizi, Bi. Fatma Khamis.

 Rais wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Wakulima Tanzania (TCCIA), Bw. Paul Faraji Koyi (mwenye barakoa nyeupe) akiwa kwenye mazungumzo na  Rais wa Jumuiya ya Wafanyabiashara na wenye Viwanda ya Oman, Mhandisi Redha Jumaa Al Saleh (wa kwanza kulia).  Bw. Koyi alikuwa nchini Oman kwa ziara ya kikazi ya kuimarisha ushirikiano kati ya TCCIA na Jumuiya ya Wafanyabiashara ya Oman. Mazungumzo hayo yalihudhuriwa pia na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Mhe. Abdallah Abasi Kilima (mwenye suti nyeusi).

Viongozi wa Jumuiya za Wafanyabiashara wa Tanzania na Oman wakiwa katika picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Oman, Mhe. Abdallah Kilima ( wa nne kushoto) mara baada ya mazunungumzo  ya kuimarisha ushirikiano wa Taasisi zao.

Rais wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Wakulima Tanzania (TCCIA) akiwa kwenye mazungumzo na Ujumbe wa Kampuni ya Uwekezaji ya Oman na Tanzania (OTIC). Bw. Koyi alikuwa nchini Oman kwa ziara ya kikazi ya kuimarisha ushirikiano kati ya TCCIA na Jumuiya ya Wafanyabiashara ya Oman.

Mhe. Balozi Kilima (wa pili kushoto) akiwa na Rais wa Chama cha Wafanyabiashara wenye Viwanda na Wakulima Tanzania (TCCIA), Bw. Paul Faraji Koyi (kushoto) walipotembelea kiwanda cha Chai cha Taifa cha Oman kinachozalisha chai ya MUMTAZ jijini Musact hivi karibuni. Bw. Koyi alikuwa nchini Oman kwa ziara ya kikazi.


 


TANZANIA IRELAND KUENDELEZA USHIRIKIANO

$
0
0

 

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula akizungumza wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick zilizofanyika nyumbani kwa Balozi wa Jamhuri ya Ireland nchini.


 

Balozi wa Ireland nchini Mhe. Mary O’Neil akizungumza wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick zilizofanyika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.


 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwa na Mkurugenzi wa Idara ya Ulaya na Amerika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki , Balozi Swahiba Mndeme (kulia) wakimsikiliza Balozi wa Ireland nchini Mhe. Mary O’Neil  akizungumza wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick zilizofanyika nyumbani kwake jijini Dar es Salaam.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula akizungumza na Balozi wa Comoro na  Mkuu wa Mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao hapa nchini Mhe.Ahmada El Badaoui Mohamed Fakih wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick zilizofanyika nyumbani kwa Balozi wa Ireland jijini Dar es Salaam.


Balozi wa Kenya nchini  Mhe. Dan Kazungu (katikati) akijadili jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (kulia) walipokutana nyumbani kwa Balozi wa Ireland nchini Mhe. Mary O’Neil kwenye sherehe za maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick ambayo huadhimishwa nchini humo tarehe 17 Machi ya kila mwaka .


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula akizungumza na Balozi wa Canada nchini Mhe. Pamela O’Donnell  wakati wa sherehe za maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick zilizofanyika nyumbani kwa Balozi wa Jamhuri ya Ireland nchini (kulia) akiwaangalia.


Baadhi  ya mabalozi wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania walioshiriki sherehe za maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick zilizofanyika nyumbani kwa Balozi wa Jamhuri ya Ireland jijini Dar es Salaam.



 

Tanzania na Ireland zimeahidi kuendeleza uhusiano na ushirikiano uliopo baina ya nchi hizo kwa manuufaa ya pande zote mbili

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) ametoa ahadi hiyo aliposhiriki katika maadhimisho ya Siku ya Mtakatifu Patrick ambayo huadhimishwa na Jamhuri ya Ireland tarehe 17 ya kila mwaka.

Akizungumza katika maadhimisho ya siku hiyo Waziri wa Mulamula ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Ireland kwa kuendelea kuwa mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania hasa katika Nyanja za kusaidia kaya masikini, elimu na kuwajengea uwezo wanawake na watoto wa kike nchini.

Amesema Serikali inathamini mchango wa Ireland kwa Tanzania na kusisitiza kuwa itaendeleza uhusiano na ushirikiano uliopo baina ya nchi hizo ili kufikia maendeleo ya kweli kwa pamoja.

Naye Balozi wa Ireland nchini Mhe. Mary O’Neil ameahidi kuendelea kuisaidia Tanzania katika jitihada za kuwaletea wananchi wake maendeleo.

Amepongeza ushirikiano uliopo kati ya Tanzania na Ireland na kuahidi kuendeleza ushirikiano huo kwa faida ya wananchi wa nchi zote.

Maadhimisho ya siku hiyo yamezinduliwa rasmi leo Tarehe 02 Machi 2022 jijini Dar es Salaam katika makazi ya Balozi wa Ireland nchini na kuhudhuriwa na Mabalozi na Wawakilishi wa Taasisi za Kimataifa wanaoziwakilisha nchi na Mashirika yao hapa nchini.

Siku ya Mtakatifu Patrick huadhimishwa kila ifikapo tarehe 17 Machi nchini Ireland kuadhimisha kuwasili kwa ukristo nchini humo na kusherehekea urithi wa utamaduni wa watu wa Ireland kwa ujumla.

 

 

 

WAZIRI MULAMULA AZINDUA BARAZA LA UONGOZI LA CHUO CHA DIPLOMASIA

$
0
0

 

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) akizungumza kuzindua Baraza la Uongozi la Chuo cha Diplomasia (CFR) cha jijini Dar es Salaam katika hafla iliyofanyika chuoni hapo jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Uongozi la Chuo cha Diplomasia (CFR) wakimsikiliza Waziri Mulamula wakati wa hafla ya uzinduzi wa Baraza hilo jijini Dar es Salaam.

 

Baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Uongozi la Chuo cha Diplomasia (CFR) wakimsikiliza Waziri Mulamula wakati wa hafla ya uzinduzi wa Baraza hilo jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha CFR Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi akizungumza neno la shukurani kwa Mhe. Waziri Mulamula baada ya uzinduzi wa Baraza la Chuo hicho uliofanyika jijini Dar es Salaam

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mulamula akimkabidhi kitendea kazi Mwenyekiti wa Baraza la Uongozi la Chuo cha CFR Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi katika hafla ya uzinduzi wa Baraza hilo iliyofanyika chuoni  hapo jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula katika picha ya pamoja na wajumbe wa Baraza la Uongozi la Chuo cha Diplomasia (CFR) baada ya kuzindua baraza hilo jijini Dar es Salaam.

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) amezindua Baraza la Uongozi la Chuo cha Diplomasia (CFR) na kuwataka wajumbe wa Baraza hilo kufanya mabadiliko katika uendeshji wa Chuo hicho huku wakizangatia muktadha wa uanzishwaji wake

Balozi Mulamula amewataka wajumbe wa baraza hilo kuwasiliana na mamlaka husika ili CFR ibaki katika muundo wake wa asili yakiwemo maudhui ya kuanzishwa kwa chuo hicho ili kutojitenga kabisa na kuktadha huo huku kikiangalia namna bora ya kujiendesha.

“leo hii tuko hapa kuzindua Baraza la Chuo, Mwenyekiti na wajumbe wa Baraza hili, naomba muwasiliane na Mamlaka husika ili kuona namna Chuo kitakavyoweza  kuendelea kufuata  na kutekeleza nia na madhumuni ya kuanzishwa kwake na huku mkiangalia namna ya kujiendesha,”alisema Balozi Mulamula.

Amesema pamoja na kuwa Chuo kinaangalia namna mbalimbali za kujiendesha lakini hakiondoi jukumu lake la asili ambalo lililenga kuanzishwa kwake.

Amelitaka Baraza hilo kuangalia upya na kuandaa kozi mbalimbali ambazo walikuwa wakipatiwa maafisa mambo ya nje  ili kuwawezesha maafisa hao kwenda na wakati na kuongeza ujuzi.

Akizungumza katia uzinduzi huo Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Sokoine amesema Uteuzi wa wajumbe wa Baraza hilo la Chuo utasaidia Chuo katika utekelezaji wa majukumu yake hasa ikizingatiwa sifa za wajumbe wa baraza hilo.

Naye Mwenyekiti wa Baraza la Chuo hicho Balozi Ramadhani Muombwa Mwinyi amemuhakikishia Mhe. Waziri  utayari wa wajumbe wa baraza hilo katika kutekeleza majukumu yake ili kukifanya chuo hicho kutimiza malengo yake.

 



WIZARA YAKABIDHI OFISI KWA CHAMA CHA MABALOZI WASTAAFU NCHINI

$
0
0


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mmbo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Sokoine (kushoto) akizungumza wakati wa kukabidhi Ofisi kwa Chama cha Mabalozi Wastaafu nchni.
Mwenyekiti wa Chama cha Mabalozi Wastaafu nchini Balozi Celestine Christopher Liundi (kulia) akishukuru wakati wa hafla ya kukabiddhiwa Ofisi kwa Chma hicho huku Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mmbo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Sokoine (kushoto) wakimsikiliza 
Mwenyekiti wa Chama cha Mabalozi Wastaafu nchini Balozi Celestine Christopher Liundi (kulia) akizungumza wakati wa hafla ya kukabiddhiwa Ofisi kwa Chma hicho huku Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mmbo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Sokoine (kushoto) wakimsikiliza
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akiwa na Katibu Mkuu Wizara ya Mmbo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Joseph Sokoine (kushoto) wakimsikiliza katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Mabalozi Wastaafu nchini wakati wa hafla ya kukabiddhiwa Ofisi kwa Chama hicho zilizofanyika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam. 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula katika picha ya pamoja na viongozi wa Chama cha Mabalozi Wastaafu nchni na baadhi ya viongozi wa Wizara wakati wa hafla ya kukabiddhiwa Ofisi kwa Chama hicho zilizofanyika Ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam. 



 

Uongozi wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki umekabidhi ofisi kwa chama cha mabalozi Wastaafu nchini (ARTA).

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula amekabidhi ofisi hizo zilizopo katika jengo la Wizara jijini Dar es salaam kwa niaba ya Wizara na kuhudhuriwa na baadhi ya viongozi wa wizara na watumishi .

Akikabidhi ofisi hizo Balozi Mulamula amesema ofisi hiyo iliyoko katika Ofisi ndogo za Wizara jijini Dar es salaam itatatumiwa na mabalozi wastaafu hapa nchini ili kuwawezesha mabalozi hao kuendelea kutoa mchango wao katika ujenzi wa Taifa hususani katika utekelezaji wa diplomasia ya uchumi.

Akizungumza kwa niaba ya chama cha mabalozi wastaafu Mwenyekiti wa chama hicho Balozi Celestine Liundi amesema chama hicho kwa sasa kina wanachama hai 57 ambao bado wanaweza kuisaidia nchi katika nyanja ya uhusiano wa kimataifa. 

Balozi Liundi ameushukuru uongozi wa Wizara kwa kitendo cha kuwapatia ofisi ndani ya jengo la Wizara na kuongeza kuwa kitendo hicho kimewatia moyo wa kuendelea kutoa ushauri,mapendekezo na michango ya mawazo katika kuendelea kuimarisha uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Mataifa mengine.

WAZIRI MULAMULA AAGANA NA BALOZI WA KENYA NCHINI

$
0
0

 

Balozi wa Kenya hapa nchini ambaye amemaliza muda wake wa uwakilishi Mhe.  Dan Kazungu akizungumza  na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula alipofika katika ofisi ndogo ya Wizara jijini Dar es Salaam  kwa ajili ya kumuaga. 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akimsikiliza Balozi wa Kenya ambaye amemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini Mhe. Dan Kazungu katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akizungumza alipokutana na Balozi wa Kenya ambaye amemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini Mhe. Dan Kazungu katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Balozi wa Kenya ambaye amemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini Mhe. Dan Kazungu akizungumza alipofika katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuagana na Mhe Waziri.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula akimkabidhi zawadi Balozi wa Kenya hapa nchini Mhe.  Dan Kazungu ambaye amemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini alipofika katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuaga.

 

 

 

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Liberata Mulamula ameagana na Balozi wa Kenya hapa nchini Mhe.  Dan Kazungu ambaye amemaliza muda wake wa uwakilishi hapa nchini walipokutana katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na balozi Kazungu Waziri Mulamula ameelezea kuridhishwa kwake na utendaji kazi uliotukuka wa Balozi Kazungu ambao umewezesha Tanzania na Kenya kuendelea kuimarisha uhusiano wa kindugu, kijirani na kijamii ambao umekuwepo siku zote.

Amesema uhusiano mzuri uliopo kati ya Tanzania na Kenya ni jambo lililochochewa na kazi nzuri iliyofanywa balozi Kazungu nchini na kuchochea ukuaji wa biashara, uwekezaji na ustawi wa jamii katika nchi hizo na amemuomba Balozi huyo kuwa balozi mzuri wa Tanzania pindi atakaporejea nyumbani kwao Kenya.

“Katika kipindi chako cha uwakilishi umeiwakilisha vyema Kenya hapa nchini na kuonesha mafanikio makubwa ambayo Tanzania na Kenya tumeyapata kwa pamoja, kazi yako imechochea ukuaji wa biashara uwekezaji na hata ustawi wa jamii katika nchi zetu, nikuombe ukawe balozi mzuri wa Tanzania nchini Kenya’, alisema Mhe. Waziri.

Naye Balozi wa Kenya hapa nchini Mhe. Dany Kazungu amesema anajivunia uwepo wake hapa nchini, amejifunza mengi ikiwemo kuthamini utu na ukarimu wa Watanzania, na amewashukuru Watanzania kwa upendo mkubwa waliomuonesha katika kipindi cha miaka minne aliyokuwepo nchini.

"shukurani nyingi kwa upendo wenu Watanzania, mhe. Waziri niwaombee heri na baraka zote katika harakati za kuijenga Tanzania, ni wakati mgumu kusema kwaheri lakini hakuna budi, tuendeee kushirikiana  na tufanye kazi pamoja ili kuleta maendeleo ya watu wetu, siku zote nitakumbuka utu na ukarimu wa Watanzania, mnathamini utu hakuna kukwezana, nimejifunza hili toka kwenu," alisema Mhe. balozi Kazungu

Amesema daima atakumbuka tabia ya Watanzania kutokutweza utu wa mtu na ukarimu wao na kuahidi kuwa atakuwa balozi mwema wa Tanzania nchini Kenya na kuwaombea heri na baraka katika hatau mbalimbali za maendeleo ya kiuchumi, kijamii  na kisiasa ambazo Tanzania imekuwa ikizichukua chini ya Uongozi imara wa Rais Samia Suluhu Hassan.

 

WAZIRI MULAMULA AZINDUA BODI YA WAKURUGENZI YA AICC

$
0
0
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) leo tarehe 7 Machi 2022 amezindua Bodi ya Wakurugenzi ya Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) katika hafla fupi iliyofanyika jijini Arusha. 

Akizungumza katika uzinduzi huo wa Bodi ya Wakurugezi, Waziri Mulamula ameeleza Wizara na Serikali kwa ujumla inaimani kubwa kuwa kutokana na taalamu, uzoefu na uadilifu wa wajumbe wa bodi hiyo wataiongezea AICC ufanisi na tija. “Wote tunafahamu vyema katika kipindi cha miaka miwili ya hivi karibuni Dunia imepitia changamoto ya janga la UVIKO-19 ambalo limeathiri biashara nyingi  duniani ikiwemo  Sekta ya Mikutano ya Kimataifa, hivyo kutokana na weledi wa wajumbe wa bodi hii kwa kushirikiana na Wafanyakazi bila shaka mtaenda kubuni njia mbadala za kuongeza mapato” amaeeleza Waziri Mulamula.

Kwa upande wake Balozi Begum Karim Taj ambaye ni Mwenyekiti wa Bodi hiyo sambamba na kuzishukuru mamlaka za uteuzi kwa kuwaamini kuingoza AICC, ameelezea utayari wa Bodi ya Wakurugenzi hiyo katika kutimiza matarajio ya Serikali ya kuhakikisha AICC inaongeza ufanisi na kuleta tija nchini. “Tupo tayari kuifanya kazi iliyoko mbele yetu ya kuhakikisha AICC inaendelea kufanya kazi kwa weledi na ubunifu, kuitangaza nchi na wakati huo huo kuhakikisha mapato yake yanaongezeka. Hii ni pamoja na kuongeza msukumo katika kudai madeni ambayo Kituo kinadai kwa wateja wake na kuhakisha yanalipwa kwa wakati ili kuendelea kutoa fursa kwa AICC kufanya kazi kwa ufanisi zaidi”. Balozi Begum Taj

Aidha, Waziri Mulamula amewahakikishia ushirikiano Wajumbe wa Bodi hiyo katika kutimiza malengo waliyojiwekea.

Wakati huohuo Waziri wa Mambo ya Nje wa ushirikiano w Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Liberata Mulamula, leo Tarehe 7 Machi 2022 amefanya mazungumzo na Mkurugenzi wa UN Women wa Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika Dkt. Maxime Houinato jijini Arusha.

Mazungumzo yao yalilenga kukuza ushirikiano uliopo baina ya Serikali ya Tanzania na UN Women. Katika Mazungumzo hayo, Dkt. Houinato ameishukuru Serikali ya Tanzania kwa kuendeleza jitihada zake za kumkomboa mwanamke katika nyanja zote za maendeleo.

Dkt. Houinato amemuhakikishia Mhe. Balozi Mulamula kuwa UN Women inathamini mchango wa Tanzania katika kuleta usawa wa kijinsia barani Afrika na itaendelea kushirikiana na Serikali kuhakikisha mipango yake ya kumkomboa mwanamke nchini inatekelezwa kwa ufanisi.

Kwa upande wake Mhe. Balozi Mulamula ameishukuru UN Women kwa kuendelea kuwa mdau mkubwa wa masuala ya wanawake Nchini. Aliishukuru UN Women kwa kuendelea kutekeleza majukumu yake yanayolenga kuleta usawa wa kijinsia, kuwainua wanawake kiuchumi na kupambana na ukatili wa kijinsia.

Balozi Mulamula ameihakikishia UN Women utayari wa Serikali kuendelea kushirikiana nao katika kuhakikisha kuwa Wanawake wanapiga hatua za kimaendeleo. 

Dkt. Houinato yuko Nchini kushiriki katika maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani ambayo hufanyika Tarehe 8 Machi ya Kila mwaka.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb), Mkurugenzi wa UN Women wa Ukanda wa Mashariki na Kusini mwa Afrika Dkt. Maxime Houinato (kushoto) muwakilishi wa UN Women nchini Bi Hodan Addou (kulia) walipokutana kwa mazungumzo jijini Arusha.

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula (Mb) akipokelewa alipowasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) kwa zoezi la uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula akisaini kitabu cha Wageni alipowasili katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) kwa zoezi la uzinduzi wa Bodi ya Wakurugenzi
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya AICC (walioketi) na Baadhi ya Watendaji wa AICC (waliosimama) baada ya hafla uzinduzi wa bodi hiyo Machi 7, 2022
Viewing all 3230 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>