Quantcast
Channel: Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live
↧

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Katibu Mkuu wa Mambo ya Nje azungumza na Balozi wa China nchini

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Dkt. Aziz Mlima akizungumza na Balozi wa China nchini, Mhe. Dkt. Lu Youqing alipofika Wizarani kwa ajili ya kuzungumzia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ubalozi wa Kuwait nchini wakabidhi vitendea kazi kwa Chuo cha Diplomasia

Balozi wa Kuwait nchini, Mhe. Jasem Al-Najem akimkabidhi vitendea kazi zikiwemoKompyuta kwa Kaimu Mkuu wa Chuo cha Diplomasia (CFR), Dkt. Bernard Achiula. Makabidhiano hayo yamefanyika leo katika Ofisi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa Iran nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Balozi wa Iran nchini Mhe. Mehdi Agha Jafari alipomtembelea leo katika Ofisi za Wizara Jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje akutana na Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa...

Msemaji na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bi. Mindi Kasiga akizungumza na Afisa Mwandamizi wa Ubalozi wa China nchini,  Bw. Zhang Biao...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania yapewa tuzo za ustawi wa jamii na ushirikishaji wa wanawake katika...

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki akiwa na Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia Mhe. Naimi Aziz (kulia) na Mkurugenzi wa Idara ya Afrika Balozi Samwel Shelukindo mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje awa mgeni rasmi siku ya Taifa la Misri

Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Susan Kolimba akitoa hotuba kama mgeni rasmi wakati wa maadhimisho ya Siku ya Taifa la Misri yaliyofanyika Jijini Dar es...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tanzania na Korea Kusini kuimarisha ushirikiano

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbelwa Kairuki (katikati) akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa masuala ya Afrika na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wizara ya Mambo ya Nje yamkabidhi Waziri Mkuu michango ya Madawati

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akikabidhi hundi ya michango ya madawati kwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga aagana na Mabalozi waliomaliza muda wa kazi nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Dkt. Augustine Mahiga akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini, Mhe. Dianna Melrose alipokuja Wizarani kumuaga mara baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga ashiriki hafla ya kuwaaga Mabalozi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb), akizungumza kwenye hafla  ya kuwaaga Mabalozi wa nchi za Ireland, Canada na Uingereza wanaomaliza muda wao wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga apokea Nakala za Hati za Utambulisho za Mabalozi Wateule nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb.), akipokea Nakala za Hati za Utambulisho za Balozi Mteule wa Italia hapa nchini, Mhe. Roberto Mengon. Hafla hiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mtanzania atunukiwa Tuzo ya Juu ya Malkia wa Thailand

Profesa Pauline Peter Mella aliyetunukiwa Tuzo ya Juuya Malkia wa Thailand Srinagarindra kwa kutambua mchango wake kwenye sekta ya afya, akizungumza wakati wa hafla fupi ya kumpongeza iliyoandaliwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa Saharawi nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga akimkaribisha Balozi wa Saharawi nchini Mhe. Brahim Salem Buseif alipomtembea katika ofisi za Wizara Jijini Dar es...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana na Balozi wa DRC nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt Augustine Mahiga akizungumza na Balozi wa Jamhuri ya Demokrasia ya Congo (DRC) Mhe. Jean Pierre Tshampanga Mutamba, alipomtembelea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana na wageni mbalimbali waliotembelea Wizarani

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (kushoto) akizungumza na Kaimu Balozi wa Oman nchini, Bw. Mohammed Sulaiman Alrawahi. Mazungumzo yao ambayo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga akutana kwa mazungumzo na Balozi wa Japan nchini

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Augustine Mahiga (kushoto) akizungumza na Balozi wa Japan nchini Mhe. Masaharu Yoshida alipomtembelea katika ofisi za Wizara Jijini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mahiga ampokea Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Augustine Mahiga (Mb.), akimpokea rasmi Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa Mhe. Jean-Marc Ayrault (kushoto) alipotembelea Wizarani katika...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kaimu Katibu Mkuu azungumza na Wataalam Elekezi kuhusu ushirikiano na...

Kaimu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Ramadhan Muombwa Mwinyi akizungumza na Mtaalam Mwelekezi kuhusu masuala ya Ushirikiano wa Kimaendeleo kati ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi wa Mashariki ya Kati akutana na Balozi wa Kuwait nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Abdallah Kilima (kulia), akimkaribisha Ofisini kwake Balozi wa Kuwait nchini, Mhe. Jaseem...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi wa Idara ya Asia akutana na Balozi wa China nchini

Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Astralasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mbelwa Kairuki (kushoto) akizungumza na Balozi wa China nchini Mhe. Dkt. Lu Younqing...

View Article
Browsing all 3230 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>